Safari moja nje ya nchi imenigharimu zaidi ya laki nne(400,000) kwenye vipimo vya Corona tu

Na corona yote hii mnasafiri-safiri nje ya nchi ili iweje, si mkae kijijini mlime tuuze mazao , kuna njaa tuliambiwa inakuja🤣🐒🤸
Sio watu wote wana ajira kama wewe hapa Tz.. wengine bila ya kusafiri hawana kipato chochote kaka.. wengine ni wagonjwa wanakwenda kutibiwa.. wengine ni wafunzi wanarudi vyuoni etc. Wengine wana biashara zao nje ya nchi
 
Tangu "walivyosema" hakuna Covid hivi walileta vifaa vipya? Au vile vile vya kupima papai na mbuzi?
Tuanzie hapo
 
Sio watu wote wana ajira kama wewe hapa Tz.. wengine bila ya kusafiri hawana kipato chochote kaka.. wengine ni wagonjwa wanakwenda kutibiwa.. wengine ni wafunzi wanarudi vyuoni etc. Wengine wana biashara zao nje ya nchi
Hata ajira yenyewe sina, nafanya kusogeza siku mbele, nikibet mkeka ukakubali nazungusha hela huku na kule maisha yanakwenda hivyo hivyo.
 
Hata ajira yenyewe sina, nafanya kusogeza siku mbele, nikibet mkeka ukakubali nazungusha hela huku na kule maisha yanakwenda hivyo hivyo.
Mkuu usikate tamaa, jitupe hata botwasna hapo au Singapore
 
Mkuu usikate tamaa, jitupe hata botwasna hapo au Singapore
Huko aisee nawaachia vijana, najua nipo kwenye mkwamo wa muda tu, ni mambo tu yaliingiliana na kunipeleka nilipo ila cha muhimu ni kusogeza ziku mbele kwanza huku najipanga.
 
Naongea kwa uzoefu mkuu sii kwa nadharia
Walio safiri toka mwaka jana mwishoni watalishuhudia hili (hata kwenye nchi za wenzetu majibu ni ndani ya saa 24)
Sihitaji kutumia nguvu nyingi kukushawishi
 
Naongea kwa uzoefu mkuu sii kwa nadharia
Walio safiri toka mwaka jana mwishoni watalishuhudia hili (hata kwenye nchi za wenzetu majibu ni ndani ya saa 24)
Sihitaji kutumia nguvu nyingi kukushawishi
Mzee mimi nimesafiri mara nyingi tangu hiyo mwaka jana ambapo tulikuwa tunalipa 40k Tsh hadi saivi tunalipa 230k pale Mabibo Maabara kuu, mwaka jana majibu officially ilikuwa ni 48hrs na hata hiyo 48 hrs kupata ilikuwa ni kwa tabu, wasafiri wa mara nyingi waliishia ku forge vyeti au kutoa rushwa pale Mabibo ila wapate mapema.

Kuanzia January, waziri alitamka majibu yawe ndani ya masaa 24 na bei ikaongezwa to 230k, kinachotokea ukipima nje ya Mabibo Maabara kuu inachukua 24hrs hadi sample ifike Mabibo, sasa wewe unaetegemea 24hrs results while usafirishaji tu wa sample ni 24hrs una akili timamu au unang’ang’ania na story za kuhadithiwa wakati wengine ni wahanga wa hili kila mwezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…