Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Naangalia picha hiyo hapo chini ya Sheikh Ponda akiwa katika mkutano wa Vijana wa Kiislam uliofanyika Chuo Cha Biashara Dodoma (CBE) mwaka wa 1988 na naangalia video za Kampeni ya Uchaguzi 2020 Sheikh Ponda akisimama jukwaa moja na Maalim Seif na Tundu Lissu.
Narejea nyumna najikumbusha mengi aliyopitia Sheikh Ponda katika kupigania haki.
Leo kwenye Group moja ya rafiki zangu toka tuko shule ya msingi nimepewa onyo kuwa hawapendi wao kusoma habari za Ponda kwa hiyo kuna uwezekano wakanipumzisha wanasema hawataki siasa.
Jibu langu kwa Admin lilikuwa mbona kabla ya mimi kumweka Sheikh Ponda imewekwa picha ya Dr. Hussein Mwinyi ikiwa Group hii hiataki siasa?
Nikamuuliza Admn mbona ulikuwa kimya?
Basi kwa kutokuwa bughdha kwa wenzangu na katika kujiondolea fedheha ya kufukuzwa nikajipumzisha mimi mwenyewe yaani nika-''exit.''
Narejea nyumna najikumbusha mengi aliyopitia Sheikh Ponda katika kupigania haki.
Leo kwenye Group moja ya rafiki zangu toka tuko shule ya msingi nimepewa onyo kuwa hawapendi wao kusoma habari za Ponda kwa hiyo kuna uwezekano wakanipumzisha wanasema hawataki siasa.
Jibu langu kwa Admin lilikuwa mbona kabla ya mimi kumweka Sheikh Ponda imewekwa picha ya Dr. Hussein Mwinyi ikiwa Group hii hiataki siasa?
Nikamuuliza Admn mbona ulikuwa kimya?
Basi kwa kutokuwa bughdha kwa wenzangu na katika kujiondolea fedheha ya kufukuzwa nikajipumzisha mimi mwenyewe yaani nika-''exit.''
Sheikh Ponda...