D daby mouser JF-Expert Member Joined Feb 9, 2012 Posts 206 Reaction score 73 Dec 6, 2012 #41 fidel80 said: watu kama hawa wanakuwa wazuri sana kwenye kuchapa kazi Click to expand... kula like
GOKILI JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 632 Reaction score 438 Dec 6, 2012 #42 githeri said: mwaj nafikiri tatizo ni mfumo wetu wa kuchagua wenye low scores ndo wawe walimu. Mwalimu mwingine hisabati au maarifa vinampiga chenga,atawezaje fundisha mwingine amwelewe? Igawaje waalimu wazuri wapo, tena wazuri hasa. Click to expand... kweli kabisa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
githeri said: mwaj nafikiri tatizo ni mfumo wetu wa kuchagua wenye low scores ndo wawe walimu. Mwalimu mwingine hisabati au maarifa vinampiga chenga,atawezaje fundisha mwingine amwelewe? Igawaje waalimu wazuri wapo, tena wazuri hasa. Click to expand... kweli kabisa