Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Ipo siku mtakubaliana na Mwana Mtoka Pabaya kuhusu hizi kasumba zetu na ushabiki.
Hawa tunaowacheka wala si kosa lao kwa 100%, haya ni malezi na makuzi ya kijinga. Watoto hawa wakute kwenye dala dala uone wanasoma nini, kama sio MAGAZETI YA UDAKU. Hakyanani kama vijana wetu wataendelea kuwa wapumbavu wa kutojua nini kizuri kwao na nini kibaya, basi hawa ndio wahitimu.
Hawa tunaowacheka wala si kosa lao kwa 100%, haya ni malezi na makuzi ya kijinga. Watoto hawa wakute kwenye dala dala uone wanasoma nini, kama sio MAGAZETI YA UDAKU. Hakyanani kama vijana wetu wataendelea kuwa wapumbavu wa kutojua nini kizuri kwao na nini kibaya, basi hawa ndio wahitimu.
Last edited by a moderator: