JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Mmehabarikaje Wandugu,Wasakatonge,
Kesho kukipambazuka nitajongea mdogo mdogo na Ndama Wangu {BAJA 250}kwa fundi ili akampime huyu kiumbe atakuwa anatatizo lolote lipatiwe ufumbuz mapema,aije akanigomea ndani ya mbuga na nimpe service za kutosha kwan kesho hio hyo Mda ule ule,usafiri ule ule ,dereva yule yule ,barabara ile ile ya MBUGA YA MIKUMI natoboa tundu pale hadi DAR ,Washikadau wenye roho nzuri wamenishauri nipite jioni jion wakat huo wanyama wote washawinda na kupata misosi yao ya siku sasa wanajiandaa kwenda kulala nami nasema nitapita kuanzia saa 12 jioni nitakua pale DAR kwa mapunziko kidogo
OMBI:
Nina Salio la kutosha mfukon anaefaham hotel nzuri DAR anielekeze niweze kufikia nisihangaike
Kesho kukipambazuka nitajongea mdogo mdogo na Ndama Wangu {BAJA 250}kwa fundi ili akampime huyu kiumbe atakuwa anatatizo lolote lipatiwe ufumbuz mapema,aije akanigomea ndani ya mbuga na nimpe service za kutosha kwan kesho hio hyo Mda ule ule,usafiri ule ule ,dereva yule yule ,barabara ile ile ya MBUGA YA MIKUMI natoboa tundu pale hadi DAR ,Washikadau wenye roho nzuri wamenishauri nipite jioni jion wakat huo wanyama wote washawinda na kupata misosi yao ya siku sasa wanajiandaa kwenda kulala nami nasema nitapita kuanzia saa 12 jioni nitakua pale DAR kwa mapunziko kidogo
OMBI:
Nina Salio la kutosha mfukon anaefaham hotel nzuri DAR anielekeze niweze kufikia nisihangaike