Safari pub ni uwozo. Wahudumu jikoni ni wapumbavu

Safari pub ni uwozo. Wahudumu jikoni ni wapumbavu

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
 
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Acha upumbavu wa kuharibu biashara za watu. Kwa hiyo kosa kudaiwa au? Ulitaka kula bure, umesikia hapa ni Kisemvule...

Nyambarambafu
 
Huu uzi utasaidia sana kurekebisha tabia.

Mods usiunganishe popote maana hizi pub wahudumu wanatabia , aidha wakijua mabosi wao so waduatuliaji lkn wanaoumiani ni sisi wateja.

Safari ina wasichana watatu hawafai kuendelea kukaa hapo. Waliniudhi sana
 
Punguza makasiriko kijana, dunia pana sana, ni kama wewe sometimes unavyoshindwa kumsikiliza mwenza wako vzuri au kumuhudumia vzuri, ndivyo hutokea pia kwa watu wengine ktk majukumu yao...
Take it positive watu tuna mambo mengi ukikwazika unahamia sehemu unayodhan inakupa furaha...
Watu wanahudumiwa vbaya 5* hotels sembuse Safari pub...
 
Acha upumbavu wa kuharibu biashara za watu. Kwa hiyo kosa kudaiwa au? Ulitaka kula bure, umesikia hapa ni Kisemvule...

Nyambarambafu
Wapi hapo kaonyesha amedaiwa!?? Ameomba huduma Ili adaiwe huduma hajapata analipaje Sasa!?? .... Punguza munkari fadha house kapata mshahara hatokudai Kodi hivi karibuni ....usimalizie hasira zako Kwa jamaa
 
Wapi hapo kaonyesha amedaiwa!?? Ameomba huduma Ili adaiwe huduma hajapata analipaje Sasa!?? .... Punguza munkari fadha house kapata mshahara hatokudai Kodi hivi karibuni ....usimalizie hasira zako Kwa jamaa
Mbona unalia Mkuu, au ni avatar tu...😃😃

Jifunze ku'read between the line, jamaa kagoma kulipa, kaona kama bili kubwa 😃😃.. sasa bar ina manager anatuletea huku ili tufanyeje? Tuhukumu nini? Tusiende au?? We unadhani angekua ametumia verified I'd angeandika kande hizi..?? Ni sababu ya fake I'd... la sivyo kasongoo eeeh, mbali na ngai na moko... mahakamani moja kwa moja.

Mshauri mjomba wako akiwa anaenda bar awe na hela, sio Kisemvule, hapa ni Tabata
 
Back
Top Bottom