Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watongoze uone mambo chap chapUzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.
Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.
Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.
Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Wanajiona na kujisikia sana🤬🤬🤬🤬🤬Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.
Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.
Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.
Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Malaya anaanzishia uzi chumbaniMshalewa saivi mnaanza kuanzisha nyuzi za bar na pub
...Mkuu, Inaelekea wamekuufha Sana! [emoji26]...Pole Sana...Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.
Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.
Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.
Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
watu wasiojali achana naoMalaya anaanzishia uzi chumbani
Hatujaumbwa kukimbia tatizo, Bali kutatua!!!Punguza makasiriko kijana, dunia pana sana, ni kama wewe sometimes unavyoshindwa kumsikiliza mwenza wako vzuri au kumuhudumia vzuri, ndivyo hutokea pia kwa watu wengine ktk majukumu yao...
Take it positive watu tuna mambo mengi ukikwazika unahamia sehemu unayodhan inakupa furaha...
Watu wanahudumiwa vbaya 5* hotels sembuse Safari pub...
Ipo kinyerezi maeneo gani hiiHii bar bado ipo.
Mlay anabweteka.
Badili watu.wa jikoni wasichana ni wajinga sana hao
Chakula chanmzeee usinwaribieeUzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.
Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.
Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.
Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana