Safari pub ni uwozo. Wahudumu jikoni ni wapumbavu

Safari pub ni uwozo. Wahudumu jikoni ni wapumbavu

Mods mnaruhusuje watu kuattack biashaza za watu bila ushahidi wowote ktk jukwaa hili? Mbona vya serikali mnamoderate?
 
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Watongoze uone mambo chap chap
 
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Wanajiona na kujisikia sana🤬🤬🤬🤬🤬
 
Bongo tunajitahidi kiasi.njoo nchi za kusini mwa tanzania usipo enda counter,hutamuona mtu akija kukusikiliza utakaa kama picha.
 
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
...Mkuu, Inaelekea wamekuufha Sana! [emoji26]...Pole Sana...
 
Kwanini ujiumize kwenda hapo
Badili chimbo
Mwache na wahudumu wake haooo

Ova
 
Punguza makasiriko kijana, dunia pana sana, ni kama wewe sometimes unavyoshindwa kumsikiliza mwenza wako vzuri au kumuhudumia vzuri, ndivyo hutokea pia kwa watu wengine ktk majukumu yao...
Take it positive watu tuna mambo mengi ukikwazika unahamia sehemu unayodhan inakupa furaha...
Watu wanahudumiwa vbaya 5* hotels sembuse Safari pub...
Hatujaumbwa kukimbia tatizo, Bali kutatua!!!
 
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.

Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.

Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.

Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Chakula chanmzeee usinwaribiee
 
Back
Top Bottom