Acha upumbavu wa kuharibu biashara za watu. Kwa hiyo kosa kudaiwa au? Ulitaka kula bure, umesikia hapa ni Kisemvule...Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote.
Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi.
Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na customer servece nzuri. Hawa mabintinwa safari pub Kinyerezi mwisho upande wa jikoni hawafai kuwepo. Tunakereka sana unaomba huduma ya kusikilizwa muhudumu anapepea tu.
Muhusika wa jikoni safari acha upuuzi, weka wagudumu wasikivu. Achana na haya maku*ma yameniudhi sana
Mzee upo ya ngapi tulia kwanza uandike vizuri ...unaandika kama unakata kasia Mzee....Kama wanafanyakazi wanachoka wasimalizoe hasira zao kwetu watejanshida yetu ni huduma tu
Sio ya ngapi tunapafahamu hapo. Warekebishe tabiaMzee upo ya ngapi tulia kwanza uandike vizuri ...unaandika kama unakata kasia Mzee....
Hahaha mmhTanzania nzima Kuna tatizo la customer service
Njoo kigoma ujionee customer service kama ya kuzimu.
Wewe ndio mpumbav. Mtoto wa malaya gaidiAcha upumbavu wa kuharibu biashara za watu. Kwa hiyo kosa kudaiwa au? Ulitaka kula bure, umesikia hapa ni Kisemvule...
Nyambarambafu
Wapi hapo kaonyesha amedaiwa!?? Ameomba huduma Ili adaiwe huduma hajapata analipaje Sasa!?? .... Punguza munkari fadha house kapata mshahara hatokudai Kodi hivi karibuni ....usimalizie hasira zako Kwa jamaaAcha upumbavu wa kuharibu biashara za watu. Kwa hiyo kosa kudaiwa au? Ulitaka kula bure, umesikia hapa ni Kisemvule...
Nyambarambafu
Mlaya anawala yule ndio maana wamejaa viburiHii bar bado ipo.
Mlay anabweteka.
Badili watu.wa jikoni wasichana ni wajinga sana hao
Ni kosa kubwa sana ukifanya hivi, Meneja ukila wahudumu tu umeisha.Mlaya anawala yule ndio maana wamejaa viburi
USSR
Basi sawa..... Ila muwe basi mnawaachia tutip kidogo ...... Anaweza kuwa aliona Kuna mteja mwingine anamtoaga vitip akaenda huko akauacha wewe unayekunywa mwenyewe mwenyewe kama moyo Mzee....Sio ya ngapi tunapafahamu hapo. Warekebishe tabia
Mbona unalia Mkuu, au ni avatar tu...ππWapi hapo kaonyesha amedaiwa!?? Ameomba huduma Ili adaiwe huduma hajapata analipaje Sasa!?? .... Punguza munkari fadha house kapata mshahara hatokudai Kodi hivi karibuni ....usimalizie hasira zako Kwa jamaa
ππ tembea na hela dada, kama huna kula kwako... ila bili za watu uwe unalipa, acha makasiriko... mjini hapa!!Wewe ndio mpumbav. Mtoto wa malaya gaidi
Hapo Hapo Unique pub au kuna kwingine Mkuu?Tanzania nzima Kuna tatizo la customer service
Njoo kigoma ujionee customer service kama ya kuzimu.
KibodekoHapo Hapo Unique pub au kuna kwingine Mkuu?
OkKibodeko