Safari siyo kifo.......Babu DC !!


Wambie watamuua babu kwa kukaa kimya!!
 
Huyu babu DC ndio nani?
Namsikia sikia tu.
 
Huyu babu DC ndio nani?
Namsikia sikia tu.

Usiwe na shaka dada,

Badu karudi unamfahamu soon...Ila unaweza kupata contacts za bibi akupe details zake zaidi au vipi?
 
Hivi form za kuombea U-Babu zinapatikana wapi?
 
Hivi form za kuombea U-Babu zinapatikana wapi?

Wala huna haja ya kuchukua fomu wala kutangaza nia...utakuja wenyewe! Unadhani wenye mvi na vipara wanatakiwa kuama wangekubali kuwa navyo?
 
Babu habari za asubuhi mpwa wako sijambo mzima kabisa niko kwenye mihangahiko ya kununua mbegu za mahindi kwa ajili ya msimu huu
 
Babu habari za asubuhi mpwa wako sijambo mzima kabisa niko kwenye mihangahiko ya kununua mbegu za mahindi kwa ajili ya msimu huu

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, safi sana kajukuu....Hebu basi mueleze Babu.....Mambo yanakwendaje?

Usalama umekuwepo toka aondoke?

See u soon,

Babu DC.
 
Babu habari za asubuhi mpwa wako sijambo mzima kabisa niko kwenye mihangahiko ya kununua mbegu za mahindi kwa ajili ya msimu huu


Ndo maana nakupenda mkwe wangu ...yaani hapa mwanangu halali njaa hata siku moja kijana unasoma sana nyakati
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, safi sana kajukuu....Hebu basi mueleze Babu.....Mambo yanakwendaje?

Usalama umekuwepo toka aondoke?

See u soon,

Babu DC.
Mambo yanaenda vizuri babu,babu mwenzako asprin hajambo mzima kabisa ila bado hajaacha mchezo wake wa kujilimbikizia wajukuu.
 
Ndo maana nakupenda mkwe wangu ...yaani hapa mwanangu halali njaa hata siku moja kijana unasoma sana nyakati
Mkwe siku ile nilipokuja nyumbani nilikuhakikishia kuwa mwanao hatalala njaa
 
Karibu tena babu DC, tulikumiss sana hasa yule babu mwingine alipozidisha micharuko,,lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…