Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
- Thread starter
- #21
TF toka atoke asubuhi hajarudi, Teamo alirudi kunywa chai hajarudi tena ,Maty hata chai hajanywa, AD kaomba BAN, Rose kaenda kwa shangazi gongo la mboto, Musinga anarudi kesho alikuwa morogoro, MJ1 nimemwona asubuhi alivyoamka , Judith nimemwona kule mtaa wa pili anacheza, BE ndo umeniua kabisa tangu nirudi namtafuta simpati kabisa mpaka nimechanganyikiwa.
Nyamayao nilikuwa nae sasa hivi tu alikuwa kwa mama wa kambo, Asprin alikuwepo asubuhi mahali fulani anazimua na mama wa kambo
Wambie watamuua babu kwa kukaa kimya!!