Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
631
Reaction score
592
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
 
Heri ya mwaka mpya!!!!
Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10,
Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba. Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala? Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
OK
GoldDhahabu
GoldDhahabu
GoldDhahabu
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
Kama ingelikuwa ni mimi, ningepanda gari hadi Bukoba na kwenda kulala Mutukula ili kesho yake nianze safari mapema sana Asubuhi. Huwa nikienda ugenini, hasa sehemu ambako siyo mwenyeji, napenda nifike mapema ili nipate muda wa kutembea kuservey kabla ya kufanya maamuzi ya pa kulala kwa siku hiyo.
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
Umbali wa kutoka Mutukula hadi Kampala ni wastani wa masaa matano kwa gari, lakini kwa sababu ni gari la abiria, hasa magari mdogo kama hiace (taxi), huweza kuchukua zaidi ya masaa matano kwa sababu ya kusimama njiani kushusha au kupakia abiria. Lakini ukiondoka Mutukula saa moja Asubuhi, una uhakika wa kufika Kampala kabla ya saa tisa alasiri, muda ambao bado ni rafiki kwa mgeni kufika ugenini.
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
Nauli ya kutoka Mutukula hadi Kampala ni shilingi za Kiganda arobaini elfu, lakini ukibargain unaweza kukubaliwa hata kwa shilingi elfu thelethini. Hata hivyo, inasemekana mwanzoni mwa mwaka kuna idadi kubwa ya watu wanaotaka Mutukula kwenda Kampala hivyo nauli huweza kupanda kuzidi ilivyozoeleka.
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
Nafikiri, kwa upande wa soko, OWINO MARKET ndiyo Kariakoo ya Kampala. Wajuzi wataongezea, ila mpaka sasa sijui kama kuna soko linaloipiku OWINO jijini Kampala.
 
Umbali wa kutoka Mutukula hadi Kampala ni wastani wa masaa matano kwa gari, lakini kwa sababu ni gari la abiria, hasa magari mdogo kama hiace (taxi), huweza kuchukua zaidi ya masaa matano kwa sababu ya kusimama njiani kushusha au kupakia abiria. Lakini ukiondoka Mutukula saa moja Asubuhi, una uhakika wa kufika Kampala kabla ya saa tisa alasiri, muda ambao bado ni rafiki kwa mgeni kufika ugenini.
Kumbe upo Kampala? Vipi kuhusu gharama za malazi zikoje?
 
Kumbe upo Kampala? Vipi kuhusu gharama za malazi zikoje?
Inategemeana unataka kulala mahali pa hadhi gani. Bei ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania. Ukiwa na Ugx 25,000 ambayo ni kama sh 15,000 za Kitanzania, unapata lodge nzuri tu, tena self, na kadiri bei inavyopanda ndivyo na ubora unavyoongezeka. Bajeti yako anzia Ugx 20,000 kwa vyumba vya kawaida (self) nje kidogo ya city centre hadi Ugx 35,000. Ukiwa na Ugx 60,000 au hata 50,000 una uhakika wa kulala hotelini.

Kuna gesti wana mpaka vyumba vya kawaida visivyo na vyoo ndani, bei ni Ugx 13,000 lakini sikushauri ukae kwenye hivyo.
 
Nauli ya kutoka Mutukula hadi Kampala ni shilingi za Kiganda arobaini elfu, lakini ukibargain unaweza kukubaliwa hata kwa shilingi elfu thelethini. Hata hivyo, inasemekana mwanzoni mwa mwaka kuna idadi kubwa ya watu wanaotaka Mutukula kwenda Kampala hivyo nauli huweza kupanda kuzidi ilivyozoeleka.
Nilienda kwenye ofisi ya bus la Friends linalofanya safari ya kuja huko wao nauli ya kutoka Dar hadi Kampala ni Tzs. 140,000, nami najikusanya kabla ya February 10 niwe huko vipi kuhusu hali ya hewa ikoje? Dar ni joto hasa
 
Inategemeana unataka kulala mahali pa hadhi gani. Bei ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania. Ukiwa na Ugx 25,000 ambayo ni kama sh 15,000 za Kitanzania, unapata lodge nzuri tu, tena self, na kadiri bei inavyopanda ndivyo na ubora unavyoongezeka. Bajeti yako anzia Ugx 20,000 kwa vyumba vya kawaida (self) nje kidogo ya city centre hadi Ugx 35,000. Ukiwa na Ugx 60,000 au hata 50,000 una uhakika wa kulala hotelini.

Kuna gesti wana mpaka vyumba vya kawaida visivyo na vyoo ndani, bei ni Ugx 13,000 lakini sikushauri ukae kwenye hivyo.
Budget yangu ya malazi ni Ugx 20,000 hadi 40,000 kwa city centre je naweza kupata?
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kusoma, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue basi la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safa
 
Panda Bus ya classic ni moja kwa moja kutoka dar mpka kampala na ofisi ya Classic ipo karibu na soko la kisenyi Uganda naUli Tsh130000 tu
 
Heri ya mwaka mpya!!!!

Ni matarajio yangu nyote mmevuka salama, Ndg zangu nataka kwenda Kampala Uganda 🇺🇬 kukaa siku 10.

Sasa basi naomba msaada wenu mnipe taarifa kuhusu gharama za nauli kwenda, malazi na sehemu nzuri za kufikia, masoko ya nguo za mitumba.

Nataka nisafiri kwa bus, je ni sahihi nichukue bus mpaka Bukoba, harafu niunganishe au nichukue bus la moja kwa moja la Dar to Kampala?

Naomba mawazo na ushauri wenu nifanikishe safari yangu.
[/QUOTE]
Owino makret ndiyo kariakoo ya kule.Kwa nguo za mitumba kuna duka linaitwa think twice hapo hapo aroune Owino market wanauza bei rahisi sana.Ila kuna siku chacha za wiki (sijui ni jumanne au alhamisi) ndiyo wanapofungua mzigo mpya hapo ndiyo unapata quality products.Ila watu wanakuwa wengi sana pia .Siku zingine ni matakataka zaidi.

Kuhusu nguo za wanawake za mitumba kuna Duka linaitwa NAKIVUBO COMPLEX,nyuma ya ule uwanja wa mpira, pale wanauza nguo kali sana za mitumba za wanawake bei ni kubargaian kwako ila pia ni wajanja sana wale wanawake wauzaji.

Generally, niliona kama bado bei ni kubwa kwa nguo za mitumba na viatu ambavyo ni quality.

Ila style ya udalidali (Uwinga) iko kama ilivyo kariakoo.Kwa siku 1o hizo zinaweza zikatosha kurvey na kupata chimbo la maana.

Ila kwa kua umeuliza usafiri wa basi,kwa kuwa wewe ni mfanyabiashara basi nashauri upande mabasi ya moja kwa moja Dar to Kampala au Dar -Nairobi-Kampala ili kupunguza cost ya safari kwa kulala njiani pia usalama.Maisha ya kule yapo chini hela yetu ina thamani zaidi kuliko yao.Chenji hela zakokabisa hapa Dar kabla ya kuondoka maana pale mpakani exchange rate inaweza kuwa mbaya
 
Nilienda kwenye ofisi ya bus la Friends linalofanya safari ya kuja huko wao nauli ya kutoka Dar hadi Kampala ni Tzs. 140,000, nami najikusanya kabla ya February 10 niwe huko vipi kuhusu hali ya hewa ikoje? Dar ni joto hasa
Kuna kaubaridi kazuri. Hali ya hewa inataka kuendana kidogo na ya Arusha au Mwanza.
Ungejua nauli ya kutoka Dar mpaka Bukoba, tungeweza kufanya ulinganisho tuone option bora ni ipi kati ya basi la moja kwa moja na la kuunga unga!
 
Kuna njia za panya kufika Uganda au lazima upite mtukula
 
Back
Top Bottom