Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

Ngoja na mm nijipange nikalete nguo kutoka Uganda, nasikia bei rahisi sana.
 
Mkuu uko Kampala hadi lini?
Nina mpango wa kusafiri wiki mbili zijazo kuelekea Kampala Ila nataka nipitie Kisumu, niingie Uganda kupitia Busia. Nitakutafuta kupitia uzi huu. 🙏
 
Safari yangu ya kwenda magharibi ya Tanzania natarajia kuianza mwisho wa mwezi huu. Maandalizi ya safari yako kwenye hatua za mwisho mwisho na natarajia kutua Mwanza asubuhi kwenye saa 12 na kuunganisha kwa basi hadi Musoma kisha nitapita Tarime hadi Sirari.

Nitavuka mpaka na huenda nikalala Kisumu ili kesho yake niende Busia ambapo natarajia kuvuka mpaka wa Kenya kuingia Uganda. Hesabu zangu zinanionyesha kuwa ni mwendo wa masaa kati ya 12-14 kutoka Mwanza hadi kuipata Kampala....Tuombeane kheri.:CarltonPls::CarlosPls:
 
Safari yangu ya kwenda magharibi ya Tanzania natarajia kuianza mwisho wa mwezi huu. Maandalizi ya safari yako kwenye hatua za mwisho mwisho na natarajia kutua Mwanza asubuhi kwenye saa 12 na kuunganisha kwa basi hadi Musoma kisha nitapita Tarime hadi Sirari.

Nitavuka mpaka na huenda nikalala Kisumu ili kesho yake niende Busia ambapo natarajia kuvuka mpaka wa Kenya kuingia Uganda. Hesabu zangu zinanionyesha kuwa ni mwendo wa masaa kati ya 12-14 kutoka Mwanza hadi kuipata Kampala....Tuombeane kheri.:CarltonPls::CarlosPls:
Kila la heri
 
Back
Top Bottom