Mkuu nilishanunua ndizi mbivu Kariakoo imefungwa unaambiwa ni clear toneUmenikumbusha story nilizowahi kusikia za Kariakoo Dar. Unaonyeshwa raba mtoni moja kali sana lakini ya mguu mmoja. Ukiamua kununua wanakufungia pembeni na kuhakikisha huoni na kukuonya usifungue kwani ukikamatwa na polisi utanyang’anywa. Ukifika home fungua viatu vyako ili ujinome ndiyo unakutana na bomu la uchafu uliofungiwa.
Mkuu nilishanunua ndizi mbivu Kariakoo imefungwa unaambiwa ni clear tone
hahaaaaaHahahahahhahahaaa kama yalikuwa oversize kwake kama size ya lemutuz basi aliingia mjini akiwa na kanzu.
hahaaaa maninaHahahaha atafanyaje sasa anakuwa kama yuko pwani anaipungisha upepo akitembea ngwirii ngwirii
hahaaaa manina
Hehehehehehehee umeipata taswira eehhh aahahahahahahaaa
Acha tuu, mwanaume ambaye Nimezoea na nae na huwa tunataniana bila mipaka.... aaaahh huwa napenda sana kuchezea makende yake eehehehehehehehehheheheeeee yaani niyaguse guse niyaminye minye uchokozi tuu aahahahahhahaa halafu Mnara ukianza kwenda wima mie mbiooooo aahahahahahahaa
With my lens glass on Roger Sterling
Bila shaka ni BASHITE mwenyewe zama zake za kuja mjini,/dsm akitokea KOLOMIJE.Kuna bwana mmoja alikuwa na shauku ya kufika Dar. Katika umri wa miaka 30+ hajawahi kuliona jiji la Bashite.
Aliuza mazao yake na akiba aliyokuwa nayo na kukata ticket ya train. Akiwa njiani aliona nguo alizovaa hazistahili kuingia mjini.
Train ilisimama kituoni abiria washuke na kupanda. Jamaa aliwahi dukani kununua suruali, shati, boxer na t-shirt. Alilipa pesa na kufungiwa nguo kwenye Rambo.
Aliingia choo cha train na kuvua nguo zake na kuzitupa dirishani train ikiwa kwenye mwendo.
Alifungua Rambo na kukuta amefungiwa mashati manne tu.
Unafikiria alifanya nini?