Una mshauri jinsi ya kufanya matumizi mtu mwenye hisa zaidi ya laki na 20 Crdb? Hapo ukiweka na za NICOL sio chini ya Tzs mil 100 …mpe heshima yake chifu.Ni ngumu sana kisevu 700,000/- kwa kipato cha 1.2m
Fanya hivi
-nyumbani matumizi kwa mwezi 300,000/- chukua Laki3 toa ile 1.2m utabaki na laki9, hapo sijaweka Kula kazini (mchana na asubuhi), Nauli za kwenda kazini, Vocha, maji, umeme, gasi/mkaa, kuvaa, kin'gamuzi,
- Milioni40 kuipata labda ujiingize kwenye magendo kwa sababu kipato chako kwa mwaka ni hakizidi 15.6M
Usitamani mali ya jirani yako🥶Moyo wangu unachanika vipande hiyo incentive yake kwangu ndo nahangaika nayo Kila siku jobless mimi
Amesema anakula nyumbani, au wewe umejiwekea kanuni lazima unywe chai ofisini na kwamba lazima ule mchana? Watanzania tutoke huku kwenye hi ratiba tunaharibu afya zetu.Ni ngumu sana kisevu 700,000/- kwa kipato cha 1.2m
Fanya hivi
-nyumbani matumizi kwa mwezi 300,000/- chukua Laki3 toa ile 1.2m utabaki na laki9, hapo sijaweka Kula kazini (mchana na asubuhi), Nauli za kwenda kazini, Vocha, maji, umeme, gasi/mkaa, kuvaa, kin'gamuzi,
- Milioni40 kuipata labda ujiingize kwenye magendo kwa sababu kipato chako kwa mwaka ni hakizidi 15.6M
Dah, hii mentality yako mkuu ndo inayokutambulisha wewe kama mtu mwenye stress. Nisamehe kama nimewaza vibaya..You will be fine... you will be fine..!! Jomba usijali mambo yatakaa sawa. Kupitia andiko lako naona stress ya kufa mtu. Wakati mgumu unaopitia nao utapita.
Ebu twambie sisi matomaso how can you make 45M kwa mwakaAmesema anakula nyumbani, au wewe umejiwekea kanuni lazima unywe chai ofisini na kwamba lazima ule mchana? Watanzania tutoke huku kwenye hi ratiba tunaharibu afya zetu.
Halafu hata anayelipwa laki 5 kwa mwezi anauwezo wakutengeneza malengo yakupata 45m kwa mwaka bila kufanya magendo yeyote mkuu. Dunia kubwa sana, na mwaka ni mkubwa sana, 365days 365ways.....
Kama huli mchana ni wewe wenzio wanakula.Amesema anakula nyumbani, au wewe umejiwekea kanuni lazima unywe chai ofisini na kwamba lazima ule mchana? Watanzania tutoke huku kwenye hi ratiba tunaharibu afya zetu.
Halafu hata anayelipwa laki 5 kwa mwezi anauwezo wakutengeneza malengo yakupata 45m kwa mwaka bila kufanya magendo yeyote mkuu. Dunia kubwa sana, na mwaka ni mkubwa sana, 365days 365ways.....
Vipi kuhusu mizigo mkuu. Utaendelea nayo, au nayo isubiri NovWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
Unachokifikiri kichwani ndicho unachokipataEbu twambie sisi matomaso how can you make 45M kwa mwaka
Kula hovyo hovyo ni matumizi mabaya ya mdomo na madhara yake kuongeza uzito wa mwli usiohitajikaKama huli mchana ni wewe wenzio wanakula.
Kwa hiyo kula mchana kuna haribu afya?
Laki5 uweze kupata 45m kwa mwaka au una bet
Kikubwa uwe na passion tu ya savings. Mwanzo mgumu ila ukishaanza utaona fursa zingine zinafunguka haijalishi kipato ukipatacho coz nami nilianza hivyohivyoKama huli mchana ni wewe wenzio wanakula.
Kwa hiyo kula mchana kuna haribu afya?
Laki5 uweze kupata 45m kwa mwaka au una bet
Wabongo wengi tunakulakula ovyo mtu anaona karanga anakula, mayai ya kuchemsha anakula, mahind anakula etc kwa mwendo huo kutoboa ni kazi sanaKula hovyo hovyo ni matumizi mabaya ya mdomo na madhara yake kuongeza uzito wa mwli usiohitajika
umenisaidia niweze kuomba Gawio languWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
Acha ubahili mkuu afya kwanzaWabongo wengi tunakulakula ovyo mtu anaona karanga anakula, mayai ya kuchemsha anakula, mahind anakula etc kwa mwendo huo kutoboa ni kazi sana
Safi kijana . Tukipata vijana Milioni 5 hapa nchini waliooa wakiwa na uamuzi kama wako, taifa litapona na wadada watakuwa salamaNimetulizana na wife
shida wanawake hawajawahi kukiri kuacha kuongea na shetani au kuacha ushauri wanaopewa na shetaniSafi kijana . Tukipata vijana Milioni 5 hapa nchini waliooa wakiwa na uamuzi kama wako, taifa litapona na wadada watakuwa salama
weee kumbe wanaongeaga nae>?!shida wanawake hawajawahi kukiri kuacha kuongea na shetani au kuacha ushauri wanaopewa na shetani
mwanzo 3:2-6weee kumbe wanaongeaga nae>?!