Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

Mungu Kama aishivyo atawabariki Wote wanaojitoa kwa Ajili ya Uponyaji wa Mzalendo Lissu.


Na kwa hakika wote waliohusika kwa namna yoyote kufanya tukio lile direct and indirect Watalaaniwa wao na Vizazi Vyao.
 
Nimetoa machozi kama kuna mtu atakuchallenge atakua hana akili


Mimi pia nimetoa machozi... am sure machozi ya watanzania hayatakwenda bure.............. Mtu kama Lisu anatakiwa alindwe kwa hali zote na sio kumtumia watu wa kumuua.. sasa kipaji chake kiwe bure........ Mungu unaona na unasikia asante Yesu asante Mungu sifa na utukufu kwako. binadamu hata awe na hila zipi wewe uuu na utaendeloea kuwepo.
 
Kuna watu humu nimeona nao wanachangia kwa upotoshaji,akiwemo mtu anaitwa Tume ya Katiba juu ya namna Lissu alivyotoka Tanzania kwenda Nairobi.

Kwanza naomba ku-declare kuwa nilishiriki "indirectly" kuona namna gani usafiri wa kwenda Nairobi unapatikana,japo nilikuwa mbali na nyumbani,lakini niliwasiliana na wadau ili kuona huyu mtu anapata usafiri kufika eneo la matibabu baada ya kusikia uhitaji mkubwa ni kufika Nairobi usiku uleule.

Suala la kwanza lilioafikiwa na Bunge ilikuwa ni kumleta Dsm-Muhimbili,ndege iliyokodiwa ilikuwa ni ya kampuni ya Safari Air Link na si ya NHIF kama anavyosema huyo Ndugai,ambayo ni MEDEVAC,ilikuwa ni Caravan usajili wa 5H-EWA,mali ya Peter Fox(mmiliki wa kampuni ya Safari Air Link),bahati mbaya ikatokea mabadiliko ya kwenda Nairobi,na ile ndege ikawa na rubani mmoja na haiwezi kwenda Nairobi usiku ikiwa na rubani mmoja ambaye hakuwa na masaa ya kuruka usiku.TCAA walikuwa tayari kutoa kibali cha ndege kuruka usiku hata kama ina injini moja kwa sharti la kuwa na marubani wawili,Ukawa ni mtihani mwingine wa kuanza kutafuta ndege nyingine usiku uleule.

Ndege nyingine ya Safari Air Link aina ya Citation(Jet Engines) siku hiyo ilikuwa imeenda Pemba ya Mozambique kama si Zambia,Fox akawa hana option,sbb pia hiyo ndege isingeweza kubeba abiria wengi ambao CHADEMA walikusudia wasafiri na Lissu.

Ndege kubwa ya kuwatosha mgojwa,daktari pamoja na wasindikizaji akiwemo mkewe, ikawa ni hiyo Citation ya Flight Link,5H-ETG.Ambayo ilipaswa kutoka Dsm kuja Dodoma usiku uleule,ili inyanyuke kwenda Nairobi.

Jambo hili likawezekana,lakini ilipaswa pesa iwe juu ya meza kwa mlipo ya dola,Dodoma hakukuwa na Mbunge wala waziri mwenye dhamana ya dola,Turky wa Mpendae akachukua dhamana hiyo ya mali kauli,sababu mmiliki wa kampuni ya Flight-Link(Mhindi) wana ushirika naye.Ndege ilinyanyuka Dsm-Dodoma na baadae Nairobi

Siri ya safari ile wakiwa angani,naamini ipo siku Mbowe na Msigwa wataiandikia kitabu(A Day to Remember in a Dark Political Arena),Ilikuwa ni safari ngumu iliyojaa machozi na uchungu mkubwa,walisafiri kwa shida sana,kitanda kilikuwa kinacheza na pia dripu ilibidi Dokta asafiri akiwa ameishika mkononi kaining'iniza juu sababu ya "height" ya ndege,ilikuwa ni safari ya mateso na experience mbaya sana kwa kina Msigwa na Mbowe pamoja na mke wa Lissu.Mungu aliyemponya Danieli katikati ya Simba wenye njaa,alitenda miujiza.

Sijaelewa huu upotoshaji wa huyu Ndugai ameutoa wapi,kwamba kuna ndege ilikodiwa toka Nairobi?Hiyo ndege ni ipi?kwamba aliomba itumie "airspace" ya Tanzania kinyume na sheria za nchi?Kwani sheria za nchi zinavunjwaje kwa ndege iliyoomba kibali kutua Tanzania na ikaruhusiwa?

Huu uwongo ni wa nini?hiyo ndege mliyokodi toka Kenya ni ipi?Maana kila mtu hata siyekuwa Dodoma aliona ndege iliyoondoka na Lissu ni 5H-ETG mali ya kampuni ya FlightLink.

Hii ni kampuni ya Tanzania,ndio maana usajili wa ndege umeanza na "5H",ndege zote zilizosajiliwa Tanzania huanza na "5H",zile za Kenya huanza na "5Y" na majirani Uganda ni "5X"...Wewe Ndugai hiyo ndege ya Kenya mliyoiombea kibali cha kutumia "airspace" yetu tena kinyume cha sheria ni ipi?Na sheria zipi mlizovunja?

Sasa unaona mtu anakuja humu anasema eti Lissu alitoka na ndege Dodoma hadi Dsm then ndio akaenda Nairobi.Huu uwongo mnauzalisha toka wapi??Wacheni upumbavu katika uhai na maisha ya watu sbb ya siasa!!Eboooo!!!!

Nimemsikiliza Ndugai hapa Jf kwenye video,ameongea kwa uchungu na huzuni,sababu maneno ya Lema yamemuingia sana,amefikia hatua ya kusema kama CHADEMA wanataka kumpeleka Lissu India,bunge lipo tayari endapo Waziri atakubali.Maneno ya Lema yamegusa mfupa,Job anajua aliondoka na hali gani hapa nyumbani kwenda India,amekaa miezi kibao akiugua.

Kila aliyekuwa anasimama bungeni,kabla ya kuchangia,alimuombea Spika afya njema na arudi mzima nyumbani.Watu walisali...Kuna siku Bulaya aliongoza sala ya kuomba afya ya spika katika Canteen ya Bunge.

Malumbano yanayoanzishwa na Spika ndani ya bunge juu ya afya ya Lissu si afya kwa ubinadamu na utu.Kuanzia lile la kutofautiana idadi ya risasi na Kubenea mpaka kamati ya maadili,na lile la kusema Turky ndio kachangia.Turky ni muislam safi,sadaka isiyo na mawaa na yenye thawabu haitangazwi.

Palipo na tendo jema,Mungu hufungua riziki...Kuitangaza sadaka ya Turky bungeni ni kumuondolea neema na thawabu kubwakubwa na ndogondogo mja wake aliyetoa sadaka.Mh.Spika,tumia busara kufunga malumbano ya afya ya Lissu Bungeni,wakati upo India,watu walijibiidisha kukuombea na si kujadili na kulumbana juu ya afya yako na matibabu yako.FUNGA MJADALA WA KUSIMANGANA BUNGENI KUHUSU AFYA NA HALI YA TUNDU LISSU...HUU SI UBINADAMU.

Kuna kijana sijui ni msemaji wa chama naye katoka kabisa na "Press Release" kupongeza hali ya Mbunge Turky,kutoa "mali kauli" ya safari ya ndege.Jamani mnaharibu sadaka za wenzenu.Turky mwenyewe amenukuliwa akisema;
" Mbowe akaniomba kwa kuwa nafahamiana nao (wenye ndege) niwadhamini wamuwahishe Lissu halafu wao watalipa. Na ndicho nilichofanya (kuwadhamini kwa mali kauli) na pesa hiyo imelipwa jana. Tunamshukuru Mungu nia njema hufungua milango yake” .Watu mnaharibu sadaka za watu bila kujua,nia njema ya Turky ipo katika hayo maneno yake ya mwisho yenye "bold".

Msaidieni Lissu kama nyie mlivyosaidiwa kwa kofia za ubunge na uspika wenu,wacheni masimango,tendeni kama vile mlivyotendewa,wengine mlikwenda India miguu haingii hata katika viatu,mlivaa suti na sandozi.Mungu amewaponya...Lipeni wema juu ya wema!!Mnaleta "urasimu" wa taratibu za matibabu nje ya nchi kwa mwili wa binadamu uliopigwa na kulowa risasi zaidi ya 10?Ebooo!!HIZO PESA ZA MAMA ZENU?

barafu wa JF

We Live Once,but Legacy Lives forever!!
View attachment 588456
Juu ni ndege ya kampuni ya FlightLink(Tanzania) iliyompeleka Lissu Nairobi

View attachment 588458
Hii ni ndege ya Safari Air Link iliyokusudiwa kumleta Dsm ikashindikana
Barafu.mambo c ndo haya bhana angalau umeanza kututoa tongotongo katka hili.kwa sababu huyu kipaza sauti me nilikuwa hata c mwelewi kabisa(mnafiki)
 
Tatizo kubwa ninaloliona nchi hii

Ukiwa mzalendo wewe ni adui wa nchi ..

Serikali ya ccm imeamua kupandikiza uchama

Kama nchi nyingine zilivyo na ukabila na sasa Tanzania inatafunwa na uchama uccm ..

Ukitoa hoja unabatizwa kuwa wewe in chama Fulani nani katufikisha uko bila shaka ni watu wasioipenda tanzania wanajipenda wao kwanza kuliko nchi yetu sasa nchi imekuwa na watu waoga wanungunikaji na wasomi wasio na faida wasioweza kuhoji mambo makubwa ya kitaifa ..

Hakika tumepatikana kama nchi kuletewa utawala wa hovyo hovyo unapenda taarifa za uongo kuliko uhalisia...

Lissu ugua pole pona uje uendelee kuwatoe tongotongo watanzania .


Mimi pia kila siku nalaani mtu aliyemteua JOHN POMBE MAGUFULI kuwa mgombea na baadae kupeleka kushinda kwa hila. NAPE NNAUYE ameanza kujuta.. nchi haina mbele wala nyuma tuko kwenye taharuki hatuji kesho ataamka na lipi. Mungu tupe uvumilivu
 
Kuna watu humu nimeona nao wanachangia kwa upotoshaji,akiwemo mtu anaitwa Tume ya Katiba juu ya namna Lissu alivyotoka Tanzania kwenda Nairobi.

Kwanza naomba ku-declare kuwa nilishiriki "indirectly" kuona namna gani usafiri wa kwenda Nairobi unapatikana,japo nilikuwa mbali na nyumbani,lakini niliwasiliana na wadau ili kuona huyu mtu anapata usafiri kufika eneo la matibabu baada ya kusikia uhitaji mkubwa ni kufika Nairobi usiku uleule.

Suala la kwanza lilioafikiwa na Bunge ilikuwa ni kumleta Dsm-Muhimbili,ndege iliyokodiwa ilikuwa ni ya kampuni ya Safari Air Link na si ya NHIF kama anavyosema huyo Ndugai,ambayo ni MEDEVAC,ilikuwa ni Caravan usajili wa 5H-EWA,mali ya Peter Fox(mmiliki wa kampuni ya Safari Air Link),bahati mbaya ikatokea mabadiliko ya kwenda Nairobi,na ile ndege ikawa na rubani mmoja na haiwezi kwenda Nairobi usiku ikiwa na rubani mmoja ambaye hakuwa na masaa ya kuruka usiku.TCAA walikuwa tayari kutoa kibali cha ndege kuruka usiku hata kama ina injini moja kwa sharti la kuwa na marubani wawili,Ukawa ni mtihani mwingine wa kuanza kutafuta ndege nyingine usiku uleule.

Ndege nyingine ya Safari Air Link aina ya Citation(Jet Engines) siku hiyo ilikuwa imeenda Pemba ya Mozambique kama si Zambia,Fox akawa hana option,sbb pia hiyo ndege isingeweza kubeba abiria wengi ambao CHADEMA walikusudia wasafiri na Lissu.

Ndege kubwa ya kuwatosha mgojwa,daktari pamoja na wasindikizaji akiwemo mkewe, ikawa ni hiyo Citation ya Flight Link,5H-ETG.Ambayo ilipaswa kutoka Dsm kuja Dodoma usiku uleule,ili inyanyuke kwenda Nairobi.

Jambo hili likawezekana,lakini ilipaswa pesa iwe juu ya meza kwa mlipo ya dola,Dodoma hakukuwa na Mbunge wala waziri mwenye dhamana ya dola,Turky wa Mpendae akachukua dhamana hiyo ya mali kauli,sababu mmiliki wa kampuni ya Flight-Link(Mhindi) wana ushirika naye.Ndege ilinyanyuka Dsm-Dodoma na baadae Nairobi

Siri ya safari ile wakiwa angani,naamini ipo siku Mbowe na Msigwa wataiandikia kitabu(A Day to Remember in a Dark Political Arena),Ilikuwa ni safari ngumu iliyojaa machozi na uchungu mkubwa,walisafiri kwa shida sana,kitanda kilikuwa kinacheza na pia dripu ilibidi Dokta asafiri akiwa ameishika mkononi kaining'iniza juu sababu ya "height" ya ndege,ilikuwa ni safari ya mateso na experience mbaya sana kwa kina Msigwa na Mbowe pamoja na mke wa Lissu.Mungu aliyemponya Danieli katikati ya Simba wenye njaa,alitenda miujiza.

Sijaelewa huu upotoshaji wa huyu Ndugai ameutoa wapi,kwamba kuna ndege ilikodiwa toka Nairobi?Hiyo ndege ni ipi?kwamba aliomba itumie "airspace" ya Tanzania kinyume na sheria za nchi?Kwani sheria za nchi zinavunjwaje kwa ndege iliyoomba kibali kutua Tanzania na ikaruhusiwa?

Huu uwongo ni wa nini?hiyo ndege mliyokodi toka Kenya ni ipi?Maana kila mtu hata siyekuwa Dodoma aliona ndege iliyoondoka na Lissu ni 5H-ETG mali ya kampuni ya FlightLink.

Hii ni kampuni ya Tanzania,ndio maana usajili wa ndege umeanza na "5H",ndege zote zilizosajiliwa Tanzania huanza na "5H",zile za Kenya huanza na "5Y" na majirani Uganda ni "5X"...Wewe Ndugai hiyo ndege ya Kenya mliyoiombea kibali cha kutumia "airspace" yetu tena kinyume cha sheria ni ipi?Na sheria zipi mlizovunja?

Sasa unaona mtu anakuja humu anasema eti Lissu alitoka na ndege Dodoma hadi Dsm then ndio akaenda Nairobi.Huu uwongo mnauzalisha toka wapi??Wacheni upumbavu katika uhai na maisha ya watu sbb ya siasa!!Eboooo!!!!

Nimemsikiliza Ndugai hapa Jf kwenye video,ameongea kwa uchungu na huzuni,sababu maneno ya Lema yamemuingia sana,amefikia hatua ya kusema kama CHADEMA wanataka kumpeleka Lissu India,bunge lipo tayari endapo Waziri atakubali.Maneno ya Lema yamegusa mfupa,Job anajua aliondoka na hali gani hapa nyumbani kwenda India,amekaa miezi kibao akiugua.

Kila aliyekuwa anasimama bungeni,kabla ya kuchangia,alimuombea Spika afya njema na arudi mzima nyumbani.Watu walisali...Kuna siku Bulaya aliongoza sala ya kuomba afya ya spika katika Canteen ya Bunge.

Malumbano yanayoanzishwa na Spika ndani ya bunge juu ya afya ya Lissu si afya kwa ubinadamu na utu.Kuanzia lile la kutofautiana idadi ya risasi na Kubenea mpaka kamati ya maadili,na lile la kusema Turky ndio kachangia.Turky ni muislam safi,sadaka isiyo na mawaa na yenye thawabu haitangazwi.

Palipo na tendo jema,Mungu hufungua riziki...Kuitangaza sadaka ya Turky bungeni ni kumuondolea neema na thawabu kubwakubwa na ndogondogo mja wake aliyetoa sadaka.Mh.Spika,tumia busara kufunga malumbano ya afya ya Lissu Bungeni,wakati upo India,watu walijibiidisha kukuombea na si kujadili na kulumbana juu ya afya yako na matibabu yako.FUNGA MJADALA WA KUSIMANGANA BUNGENI KUHUSU AFYA NA HALI YA TUNDU LISSU...HUU SI UBINADAMU.

Kuna kijana sijui ni msemaji wa chama naye katoka kabisa na "Press Release" kupongeza hali ya Mbunge Turky,kutoa "mali kauli" ya safari ya ndege.Jamani mnaharibu sadaka za wenzenu.Turky mwenyewe amenukuliwa akisema;
" Mbowe akaniomba kwa kuwa nafahamiana nao (wenye ndege) niwadhamini wamuwahishe Lissu halafu wao watalipa. Na ndicho nilichofanya (kuwadhamini kwa mali kauli) na pesa hiyo imelipwa jana. Tunamshukuru Mungu nia njema hufungua milango yake” .Watu mnaharibu sadaka za watu bila kujua,nia njema ya Turky ipo katika hayo maneno yake ya mwisho yenye "bold".

Msaidieni Lissu kama nyie mlivyosaidiwa kwa kofia za ubunge na uspika wenu,wacheni masimango,tendeni kama vile mlivyotendewa,wengine mlikwenda India miguu haingii hata katika viatu,mlivaa suti na sandozi.Mungu amewaponya...Lipeni wema juu ya wema!!Mnaleta "urasimu" wa taratibu za matibabu nje ya nchi kwa mwili wa binadamu uliopigwa na kulowa risasi zaidi ya 10?Ebooo!!HIZO PESA ZA MAMA ZENU?

barafu wa JF

We Live Once,but Legacy Lives forever!!
View attachment 588456
Juu ni ndege ya kampuni ya FlightLink(Tanzania) iliyompeleka Lissu Nairobi

View attachment 588458
Hii ni ndege ya Safari Air Link iliyokusudiwa kumleta Dsm ikashindikana
 
Malumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama


Nyamaza ujifunze
 
Acha kujifanya huelewi, na kama huelewi uombe ufahamishwe uache ubishi usio na msingi, Muhimbili au Agakhan kwa sasa ni Hospital bora kuliko zote katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kati, hat huko Nairobi walikompeleka kwa sasa tunapokea wagonjwa wengi kutoka kwenye nchi hizo kuja kuhudumiwa hapa Tanzania, nenda Jakaya Kikwete Cardiac Institute, au Ocean road cancer institue, au KCMC uone na uzungumze na wakenya walivyojazana kufuata huduma. Acha kuishi kizamani, kwa sasa Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika fani ya tiba kuliko nchi zote za ukandaa huu, na kama ulimsikiliza vizuri Mbowe alisema hana wasiwasi wowote na ubora za huduma hapa nchini, kilichowafanya waende Kenya ni sababu za kiusalama, sasa kwanini wasitumie blue guards na walinzi wengine wa chadema kumlnda kipindi chote akiwepo hapo Hospitalini?, Mbona yule Generali wa jeshi aliyepigwa risasi anahudumiwa Lugalo na hali yake inaendelea vizuri?

Kwa taarifa yako, kama risasi hazijapiga kichwani, shingoni, kifuani au kuchanachana Ini, basi mgonjwa hayuko katika hatari sana hasahasa akiwaishwa Hospitalini na kuwekewa damu haraka kama ilivyofanyika kwa Lisu na yule jenerali mstaafu, wakati anapelekwa Nairobi tayari hali yake ilikuwa stable(all vital signs were stable), kwamba BP ilikua normal, oxygen concentration, breathing parten, kidogo renal functions zilikua altered kwa sababu ya less renal poerfussion because of bleeding, lakini baada ya kumuwekea damu na maji ikajirekebisha.

Nani amewakataza msimuhudumie, fanyeni mpendavyo ila msilalamikie mtu, mkitaka ahudumiwe na serikali ni lazima sheria na taratibu za nchi zifuatwe, sheria tumejiwekea lazima zifuatwe, kungeonekana kwamba maisha ya Lisu yapo hatarini wala asingepelekwa Kenya, angepelekwa India, kwa sababu hao wakenya wenyewe hawaendi hapo alipopelekwa Lisu, wao pia hukimbilia India viongozi wao wakihitaji matibabu, wanawashangaa walioamua kumpeleka Kenya
Mkuu umeandika
Maneno mengi lkn sioni kama yanamaana yoyote
....Narudia tena kwa Situation ya Ugonjwa wa LISU Haikuwa muafaka kutibiwa hapa
Mjini labda kama nawe muhusika wa Mateso ya LISU
 
Akili ndogo kamwe haziwezi kuelewa mithali za kiutu uzima, tukisema mpanda farasi wawili hupasuka msamba, ulishawahi kuona mtu anayepanda farasi wawili kwa wakati mmoja?, sasa kama ubongo wako umelala kiasi hicho cha kushindwa kutumia mifano na kuirudisha katika mada tukusaidieje?
Unajitutumua sana kujiaminisha unakili kubwa lakini ukweli utabaki palepale.....kuwa dhamira yenu juu ya Lisu inaelekea kufail kama si kuwa imefail kabisa ndiyo maana mmebaki kuleta vimisamiati vya ajabuajabu..Anyway cha msingi tuungane katika maombi ya TL...aweze kupina
 
maneno yako mazito sana na yamejaa huruma za kibinadamu! kusikubali matatizo ya watu kugeuzwa ya kisiasa na watu wenye nia mbaya! Lissu atapona na dhambi za wote waliomtendea zitawafuata na vizazi vyao na mpaka sasa hawana amani na kamwe hawawezi kuwa na amani hata kama wanamwabudu shetani, Hukumu ya Mungu hawataikwepa kamwe, tuendelee kumwombea mwanadamu mwenzetu
 
Chadema mnahangaika bure,mnapoliticise ugonjwa wa Lissu.
Kelele zote ni kwamba bila ya mbunge wa ccm ndege isingepatikana.
Halafu mleta mada una chembe za ubaguzi kwani ni lazima uandike mwenye ndege ni muhindi?
 
Mkuu umeandika
Maneno mengi lkn sioni kama yanamaana yoyote
....Narudia tena kwa Situation ya Ugonjwa wa LISU Haikuwa muafaka kutibiwa hapa
Mjini labda kama nawe muhusika wa Mateso ya LISU
Huna unalojua, nyamaza ueleweshwe, nani anayeamua kwamba ni muafaka au sio muafaka kwa upande wa matibabu zaidi ya madaktari bingwa waliopewa dhamana hiyo?, au kila mtu ajiamuliea atakavyoona ni muafaka au sio muafaka?, je madaktari walipewa nafasi hiyo kuamua hivyo?

Ni kweli kiusalama haikua muafaka kwa mujibu wa Chadema na familia, kwani walizuiwa kufanya wapendavyo?, kosa ni pale wanapotaka kulazimisha bunge kuwasikiliza na kutaka bunge lifanye wanavyotaka wao, hilo haliwezikani na haitofanyika hivyo daima.
 
Huna unalojua, nyamaza ueleweshwe, nani anayeamua kwamba ni muafaka au sio muafaka kwa upande wa matibabu zaidi ya madaktari bingwa waliopewa dhamana hiyo?, au kila mtu ajiamuliea atakavyoona ni muafaka au sio muafaka?, je madaktari walipewa nafasi hiyo kuamua hivyo?

Ni kweli kiusalama haikua muafaka kwa mujibu wa Chadema na familia, kwani walizuiwa kufanya wapendavyo?, kosa ni pale wanapotaka kulazimisha bunge kuwasikiliza na kutaka bunge lifanye wanavyotaka wao, hilo haliwezikani na haitofanyika hivyo daima.
Shida yenu mnaamini NCHI hii ni MALI ya ccm ndio maana mnapata tabu Poleni sana!....kwa hatua aliyofikia LISU kwa sisi tunaoamini katika MUNGU wa kweli tunajua Tayari ameshapona.....nyie endeleeni na taratibu zenu!
 
Chadema mnahangaika bure,mnapoliticise ugonjwa wa Lissu.
Kelele zote ni kwamba bila ya mbunge wa ccm ndege isingepatikana.
Halafu mleta mada una chembe za ubaguzi kwani ni lazima uandike mwenye ndege ni muhindi?
kabombe wewe humu huwa tunajadiliana kwa staha,nikiisifia serikali ya JPM huwa hunioni kama CHADEMA,leo nimejadili kwa mtazamo wangu,unaona mie CHADEMA...Tujadiliane tu kwa fikra huru
 
Back
Top Bottom