Safari ya mafanikio vs mishale mingi, kukata tamaa, kukatishwa tamaa,anasa za mwili etc ni ngumu kutoboa kama haupo imara!

Safari ya mafanikio vs mishale mingi, kukata tamaa, kukatishwa tamaa,anasa za mwili etc ni ngumu kutoboa kama haupo imara!

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Habari wakuu,

Safari ya mafanikio kwa aliyefanikiwa ni rahisi kuisimulia kuliko uhasilia uliopo field. Watu tumekuwa tukitengeneza maneno mengi ya uongo especially maneno ya vijiweni ili mradi kuiridhisha mioyo yetu na hali tulizo nazo.
Ukitazama kiurahisi kufanikiwa na kutofanikiwa ni kama kumsukuma mlevi lakini jaribu kupambana uone kama ni rahisi kihivyo.

Just imagine;

-Mwisho wa mwezi mmepata mshahara, familia inakutegemea, gharama za maisha zinakutegemea, ndugu etc na still hela hiyohiyo ikusaidie kufikia malengo yako.

-Mwenzio Wana choma nyama inanukia kwelikweli +vinywaji mchanganyiko wewe still unapigania malengo yako ili utoboe

-Wenzio Wana magari ya kutembelea wewe unapanda daladala na bajaji lengo ujibane utoboe.

-Wenzio Wana vaa smart wewe nguo zilezile mpaka zichanike ndo ununue mpya.

-Wenzio kila siku sherehe etc

Unaweza jiona ni ngumu na shida kuyaishi maisha hayo kwa muda ili utoboe lakini kiuhalisia hizo ndo njia za mafanikio. Kama unaona mafanikio ni rahisi endeleza kuisimulia story za walio fanikiwa nawe story yako itasimuliwa kinyume chake

Mwisho, tafuta maisha usisahau kuishi but ishi kwa akili usiige.
 
Habari wakuu,

Safari ya mafanikio kwa aliyefanikiwa ni rahisi kuisimulia kuliko uhasilia uliopo field. Watu tumekuwa tukitengeneza maneno mengi ya uongo especially maneno ya vijiweni ili mradi kuiridhisha mioyo yetu na hali tulizo nazo.
Ukitazama kiurahisi kufanikiwa na kutofanikiwa ni kama kumsukuma mlevi lakini jaribu kupambana uone kama ni rahisi kihivyo.

Just imagine;

-Mwisho wa mwezi mmepata mshahara, familia inakutegemea, gharama za maisha zinakutegemea, ndugu etc na still hela hiyohiyo ikusaidie kufikia malengo yako.

-Mwenzio Wana choma nyama inanukia kwelikweli +vinywaji mchanganyiko wewe still unapigania malengo yako ili utoboe

-Wenzio Wana magari ya kutembelea wewe unapanda daladala na bajaji lengo ujibane utoboe.

-Wenzio Wana vaa smart wewe nguo zilezile mpaka zichanike ndo ununue mpya.

-Wenzio kila siku sherehe etc

Unaweza jiona ni ngumu na shida kuyaishi maisha hayo kwa muda ili utoboe lakini kiuhalisia hizo ndo njia za mafanikio. Kama unaona mafanikio ni rahisi endeleza kuisimulia story za walio fanikiwa nawe story yako itasimuliwa kinyume chake

Mwisho, tafuta maisha usisahau kuishi but ishi kwa akili usiige.
Majaribu yanapokukuta una choice mbili, simama imara au get weak and ukatw tamaa

Choice yako ndio ita determine what will be your future form now and then
 
Habari wakuu,

Safari ya mafanikio kwa aliyefanikiwa ni rahisi kuisimulia kuliko uhasilia uliopo field. Watu tumekuwa tukitengeneza maneno mengi ya uongo especially maneno ya vijiweni ili mradi kuiridhisha mioyo yetu na hali tulizo nazo.
Ukitazama kiurahisi kufanikiwa na kutofanikiwa ni kama kumsukuma mlevi lakini jaribu kupambana uone kama ni rahisi kihivyo.

Just imagine;

-Mwisho wa mwezi mmepata mshahara, familia inakutegemea, gharama za maisha zinakutegemea, ndugu etc na still hela hiyohiyo ikusaidie kufikia malengo yako.

-Mwenzio Wana choma nyama inanukia kwelikweli +vinywaji mchanganyiko wewe still unapigania malengo yako ili utoboe

-Wenzio Wana magari ya kutembelea wewe unapanda daladala na bajaji lengo ujibane utoboe.

-Wenzio Wana vaa smart wewe nguo zilezile mpaka zichanike ndo ununue mpya.

-Wenzio kila siku sherehe etc

Unaweza jiona ni ngumu na shida kuyaishi maisha hayo kwa muda ili utoboe lakini kiuhalisia hizo ndo njia za mafanikio. Kama unaona mafanikio ni rahisi endeleza kuisimulia story za walio fanikiwa nawe story yako itasimuliwa kinyume chake

Mwisho, tafuta maisha usisahau kuishi but ishi kwa akili usiige.
Ok
 
Habari wakuu,

Safari ya mafanikio kwa aliyefanikiwa ni rahisi kuisimulia kuliko uhasilia uliopo field. Watu tumekuwa tukitengeneza maneno mengi ya uongo especially maneno ya vijiweni ili mradi kuiridhisha mioyo yetu na hali tulizo nazo.
Ukitazama kiurahisi kufanikiwa na kutofanikiwa ni kama kumsukuma mlevi lakini jaribu kupambana uone kama ni rahisi kihivyo.

Just imagine;

-Mwisho wa mwezi mmepata mshahara, familia inakutegemea, gharama za maisha zinakutegemea, ndugu etc na still hela hiyohiyo ikusaidie kufikia malengo yako.

-Mwenzio Wana choma nyama inanukia kwelikweli +vinywaji mchanganyiko wewe still unapigania malengo yako ili utoboe

-Wenzio Wana magari ya kutembelea wewe unapanda daladala na bajaji lengo ujibane utoboe.

-Wenzio Wana vaa smart wewe nguo zilezile mpaka zichanike ndo ununue mpya.

-Wenzio kila siku sherehe etc

Unaweza jiona ni ngumu na shida kuyaishi maisha hayo kwa muda ili utoboe lakini kiuhalisia hizo ndo njia za mafanikio. Kama unaona mafanikio ni rahisi endeleza kuisimulia story za walio fanikiwa nawe story yako itasimuliwa kinyume chake

Mwisho, tafuta maisha usisahau kuishi but ishi kwa akili usiige.
Usiige tembo kunya
 
Habari wakuu,

Safari ya mafanikio kwa aliyefanikiwa ni rahisi kuisimulia kuliko uhasilia uliopo field. Watu tumekuwa tukitengeneza maneno mengi ya uongo especially maneno ya vijiweni ili mradi kuiridhisha mioyo yetu na hali tulizo nazo.
Ukitazama kiurahisi kufanikiwa na kutofanikiwa ni kama kumsukuma mlevi lakini jaribu kupambana uone kama ni rahisi kihivyo.

Just imagine;

-Mwisho wa mwezi mmepata mshahara, familia inakutegemea, gharama za maisha zinakutegemea, ndugu etc na still hela hiyohiyo ikusaidie kufikia malengo yako.

-Mwenzio Wana choma nyama inanukia kwelikweli +vinywaji mchanganyiko wewe still unapigania malengo yako ili utoboe

-Wenzio Wana magari ya kutembelea wewe unapanda daladala na bajaji lengo ujibane utoboe.

-Wenzio Wana vaa smart wewe nguo zilezile mpaka zichanike ndo ununue mpya.

-Wenzio kila siku sherehe etc

Unaweza jiona ni ngumu na shida kuyaishi maisha hayo kwa muda ili utoboe lakini kiuhalisia hizo ndo njia za mafanikio. Kama unaona mafanikio ni rahisi endeleza kuisimulia story za walio fanikiwa nawe story yako itasimuliwa kinyume chake

Mwisho, tafuta maisha usisahau kuishi but ishi kwa akili usiige.

Maisha lazima yabalance ,kuwe na waliochoka,midlle class na mapedejhee(PDG) ,kusipokuwa na hiyo balance mambo yatakorogoka.

Naungana na wewe kila mtu ana siri ya jinsi alivyotoboa ila hawawezi kusema hata chembe.

Ili uweze kutoboa lazima ufanye kati ya haya:-

1. WEEZY hapa panaingia ujambazi ,utapeli ,rushwa ,ubadhilifu etc hapa ndiyo viongozi wengi wa serikali wanafall.
2.Tender Serikalini - Ukibahatika kupata continuous tenda serikalini umeula.
3.Kipaji/ubunifu....hapa utawapata kina dainamo
4.Bingo/Betting /- Inafall kwenye Bahati Nasibu
5.Inheritance
6.Biashara haramu eg Mihogo ,Dona ,Mihadarati mingine
7.Sponsor /Kuwezeshwa hapa mabinti inawahusu sana ambao walianza na mtaji wa elfu 10.(Jaq Mengi,Shamim Zeze)
 
Back
Top Bottom