Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hongera mkuu na pole kwa changamoto ulizopitia.Ndio mkuu nimehangaika kweli lakini mwisho nimepata njia niliyokuwa naitafuta baada ya mahangaiko ya miaka 9. Hapo vipi?
Mkuu Kiswahili na literature watu wanalipia na kusoma vizuri tu. Ndio maana nikaona niwashirikishe Safari yangu. Kama ulikuwa hujui basi chukua hiyo point mkuu. Tena kwa wanachuo wanalipia 40 kwa mwezi na huku chini wanalipia 25 hadi 30 hahaha. Usimkataze mdogo wako kusoma Kiswahili na literature asee. Hahaha haha sio wote wanasoma physics mkuu
Ni sahihi kabisa mkuu. Mimi JF imeniponya kabisa na kunipa ufunguo wa maisha
Hata mimi nitatumia hii Njia nawalia TimingNa hii ndio plan yangu
Mkopo huu ukiisha kwa daraja nililionalo nitakuwa na uwezo wa kukopa mil 45.
Wakati huo ukifika, nakopa halafu NAPOTEA mazimaaaaaa.
#YNWA
We call it leveraging..Jifunze kutumia watu wengine kutimiza ndoto zako ndicho wanachofanya ao kina mo na bakresa
Emma kaka yangu kiumri lakin kibiashara mdogo wangu nakushaur..
Jaribu kutumia watu(wafanyakaz) kutimiza ndoto Yako,,unapogeuka wewe mwenyewe ndio kila kitu ktk biashara Yako utaenda mbali kwa kuchelewa sana na huenda husifike unapotaka coz ww ndio mwalimu wa masomo yote,ww ndio muasibu,ww ndio head of center.nk
Jifunze kutumia watu wengine kutimiza ndoto zako ndicho wanachofanya ao kina mo na bakresa unaowataka .unafail wap wakat graduate walimu wapo kibao mtaaaani wanaoitaji ata elfu tatu kwa siku..
Mwisho weka focus kwenye jambo moja kama ni kituo,basi komaa na hcho kituo kifike level unazotaka za kutengeneza pesa unayotaka..
Bila kusahau usiwe mwema sana kwa ndugu zako coz hukuzaliwa Kwa ajili Yao Bali umezaliwa kwa ajili ya kusudi na maono Yako..pesa peleka kwenye mission zako punguza saidia saidia ndugu na wao wajipambanie wenyewe!!
Narudia jifunze kutumia watu kutimiza ndoto zako..Siri ipo hapo ..ww mwenyewe huwezi bila kutumia nguvu kazi na mda wa wengine.!!
Thanks mkuu. Unajua nn mkuu sio kwamba ualimu ndio nguzo kuu hapana biashara nimezifanya/ nazifanya sana sema nimekuwa nikifeli sana. Lengo ilikuwa ni kupata biashara ya kupata faida ya 10K per day tofauti na shule na ndio imenichukua hiyo miaka 9 kuipata.You have a long way to go man , angalau unge stick na biashara zinakua kuliko ualimu, ualimu unaofanya kwasasa ungefika hata bila kuacha kazi. Ila wewe umeamua kuchukua njia ndefu tu. Unge stick kwenye biashara kwa miaka hio 9 ungekuwa mbali mno usingekuwa bado unawaza kupata 10k per day sawa na bumu tu ulipokuwa chuo.
Aisee nimekuonea huruma maana umepoteza muda mwingi sana
Duuuuuh inabid awe na shule nzima kabisa sio wanafunzi wa QT tu!! 😁Mtoa mada anahitajika kuwa na wanafunzi wangapi wa Qt kuwa bilionea
Nina ndugu yangu ana ndoto kubwa hadi zinamletea magonjwa ya stressDuuuuuh inabid awe na shule nzima kabisa sio wanafunzi wa QT tu!! 😁
Ni uthubutu tu , jamaa alijilipua .. hopefully hajasoma kile kitabu rich dad poor dadHuu uzi hata kama mtu anataka kuacha kazi lazima aogope akiusoma. Imagine msoto wa miaka yote hyo🤣🤣. Kwanini usingekopa hata Million 10 ndo uache kazi ukiwa na Mtaji wa kueleweka?
niko hapa nimetulia nakula shule ya uzoefu mbalimbali toka kwa watuNjoo hapa brother Ivan Stepanov utoe neno.
Dhamana ya mkopo ingekuwa ni nini bro? Kumbuka kasema hakuwa na nyumba wala kishika uchumba chochote. Kikubwa unapopambana ni kujizira kabisa. Pambania ndoto yako kwenye njia sahihi, bila kujali dunia inasemaje kuhusu wewe!Huu uzi hata kama mtu anataka kuacha kazi lazima aogope akiusoma. Imagine msoto wa miaka yote hyo🤣🤣. Kwanini usingekopa hata Million 10 ndo uache kazi ukiwa na Mtaji wa kueleweka?
Lets seek our FINACIAL FREEDOM.Hata mimi nitatumia hii Njia nawalia Timing
Brother A. Upo kaka kitambo sana?Dhamana ya mkopo ingekuwa ni nini bro? Kumbuka kasema hakuwa na nyumba wala kishika uchumba chochote. Kikubwa unapopambana ni kujizira kabisa. Pambania ndoto yako kwenye njia sahihi, bila kujali dunia inasemaje kuhusu wewe!