Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

Umasiki mbaya aisee,

Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani

Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Ungekuwa mjanja unashuka hata gairo next day unaenda Moro then Dsm bado nauli haifikii ya ndege,buda usife kinyonge,pambania hali yako then uwe progressive.
 
Mnampa sifa asizostahili kabisa.
Aliyemzaa mtoto na kufariki baada ya miaka 5 na aliyemtoa hapo kwa kumlea kimaadili, kumvisha,kumsomesha,kumuoza,nk nani apewe sifa zaidi?
Magu hata Chalinze angekuwa bado. Srma alikuwa mtu wa kupenda misifa. Sikopiii nje huku anakopa kimya kimyaa
Hakuwa na pesa ila majigambo mengi na vile alipenda sifa uongo ulikuwa mwingi sana.

Wale mnaosubiria Sgr to Mwanza ni 2030,ila kipande Cha isaka-Mwanza.ndio kitaanza leta say 2026/27.
 
Umasiki mbaya aisee,

Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani

Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Halafu mabasi ya huko yana kelele za miziki usiku kucha kama bar
 
Yule mwamba angekuwepo sasa hivi SGR ingekuwa Mwanza. Masaa 7-8 uko Mwanza.
Ndio tunavuka daraja lake tuingie Mwanza safari ianze

20240905_220937.jpg
 
Back
Top Bottom