Ungekuwa mjanja unashuka hata gairo next day unaenda Moro then Dsm bado nauli haifikii ya ndege,buda usife kinyonge,pambania hali yako then uwe progressive.Umasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Hii ndio itawapunguzia walau masaa ya kukaa sana ila umri inavyozidi kuwa mkubwa hutamani kabisa kusafiri masaa mengiSerikali ituletee hiyo SGR watu wa Kanda ya ziwa
Hiyo Concord ikikanyaga hata kipande cha mbao 10 mnaondoka,Gawanya safari yako vipande vitatu usiwe na pressure kama msoma shule safiri kitalii acheni kudanganyana kuhusu kuwahi.Panda Ally’s luxury coach hutajuta
Speed limitZimeongezeka kilometa ngapi??
Pongezi Kwa John baba wa Wanyonge 😂😂😂😂Kweli kabisa. Tangu waondoe fastjet kwa sisi walalahoi, mambo yamekuwa magumu sana. Dar- Mwanza parefu sana.
Bora usafiri hadi Dom upumzike then Uanze tena upya safari baada ya siku moja au 2. Moja kwa moja inatesa sana
Hapana section za Makutopora-Tabora na Tabora-Isaka Bado saaaana labda 2030Mwakani SGR ataanza safari Rasmi to mwanza
Hesabuni Sgr 2030 Kwa Ajili ya kampenisiyo kweli. mwanza station ndo kwanza wanabomoa majengo ili kujenga hiyo reli
labda miaka miatu ijayo au labda tren haitaingia mwanza mjini
Max.km 600 uko torelable ila zaidi ya hapo ni majangaNi mzuri lakini usizidi km500
Mbezi mbagalaUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Hakuwa na pesa ila majigambo mengi na vile alipenda sifa uongo ulikuwa mwingi sana.Mnampa sifa asizostahili kabisa.
Aliyemzaa mtoto na kufariki baada ya miaka 5 na aliyemtoa hapo kwa kumlea kimaadili, kumvisha,kumsomesha,kumuoza,nk nani apewe sifa zaidi?
Magu hata Chalinze angekuwa bado. Srma alikuwa mtu wa kupenda misifa. Sikopiii nje huku anakopa kimya kimyaa
Siyo mbaya as long mradi unaendeleaHakuwa na pesa ila majigambo mengi na vile alipenda sifa uongo ulikuwa mwingi sana.
Wale mnaosubiria Sgr to Mwanza ni 2030,ila kipande Cha isaka-Mwanza.ndio kitaanza leta say 2026/27.
OK.Speed limit
Panda ndegeBado haiondoi umbali.
Mwanza-Dar siku hizi pamekuwa parefu tofauti hata zamani. Tulikuwa tunafika siku hiyohiyo kwenye saa 1 jioni au saa2 na Zuberi.
Leo hii masaa yameongezeka, mnasafiri njiani hadi unahisi kizunguzungu.
Halafu mabasi ya huko yana kelele za miziki usiku kucha kama barUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Ndio ukome kua maskini.Masaa zaidi ya 30
Ndio tunavuka daraja lake tuingie Mwanza safari ianzeYule mwamba angekuwepo sasa hivi SGR ingekuwa Mwanza. Masaa 7-8 uko Mwanza.
We shall see 🤣🤣🤣Mwamba hata wewe safari ya mwanza inakuchosha?