Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #121
Kipindi kilikuwa cha Masai Studio, nilikuwa nakifanya nikiwa mwajiriwa wa DTV.Mkuu Pasco, kuna wakati ni kama ulikuwa ITV ukitangaza/ukiwa muongozaji wa kipindi cha kitimoto. Au nimejielekeza vibaya?
TBC = Tiivii Binafsi ya Chama. Na chama chenyewe ni CCM.Alikuwa chama gani cha siasa?
Labda alitaka tuambia was fools dayPascal Mayalla,
mkuu si umestaaf jana [emoji23]
ILikuwa April 1
Kwakweli katika hili mamlaka hazikumtendea haki Yani patrobas katambi unampa udc Marine hata kumelevet aiseeee TBC laana ya Marine itawala na CCM yenu.RIP, kile kibesi chake burudani sana.Jamaa hakupewa hata udc pamoja na kupamba vile Safari ya Dodoma.Somo kwetu tumtumainie na kumtukuza Muumba pekee si wanadamu wenzetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marine Hassan Marine, leo asubuhi, amekumbukwa mahali humu jf.Wanabodi,
Wale wenye nafasi, unganeni nami kupitia TBC Live kuangazia Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa nchini Tanzania, Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan Marine, aliyefariki jana asubuhi kwenye hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Marin Hassan Marine ndiye aliyeanzisha kipindi cha Jambo TZ, Safari ya Dodoma, Nyumba ya Jirani na ameacha alama kubwa kabisa ya kipindi kipya cha TBC Aridhio.
Tulimpenda Marin Hassan Marin, Mungu amempenda zaidi.
RIP Marin Hassan Marin
Paskali
Paskali
RIP Marine Hassan Marine, angekuwa hai, saa hizi angekuwa ...Nami ningepata nafasi ya kupendekeza na huyo mpendekezwa wangu kama angekuwa bado yu hai ningemtaja Marin Hassan Marin. Mola amuhifadhi huko alipo.
Angekuwa dc!Marine Hassan Marine, leo asubuhi, amekumbukwa mahali humu jf.
RIP Marine Hassan Marine, angekuwa hai, saa hizi angekuwa ...
P.
karudi kwa kishindo chezea jf wewe humu ndimo jopo zima linamurika hahaaaaa
DCMarine Hassan Marine, leo asubuhi, amekumbukwa mahali humu jf.
RIP Marine Hassan Marine, angekuwa hai, saa hizi angekuwa ...
P.
RejeaWanabodi,
Wale wenye nafasi, unganeni nami kupitia TBC Live kuangazia Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa nchini Tanzania, Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan Marine, aliyefariki jana asubuhi kwenye hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Marin Hassan Marine ndiye aliyeanzisha kipindi cha Jambo TZ, Safari ya Dodoma, Nyumba ya Jirani na ameacha alama kubwa kabisa ya kipindi kipya cha TBC Aridhio.
Tulimpenda Marin Hassan Marin, Mungu amempenda zaidi.
RIP Marin Hassan Marin
Paskali
Paskali