Safari ya rais Uhuru, China yatia mkataba na kuifanya Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuuza maparachichi China

Wamesema kenya imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kufanikisha hilo dili na china
 
Tatzo watanzania uwa muda mwengine hatufuatilii masuala ya biashara ndani ya nchi...Tanzania tuna export maparachichi mnooo mpaka kupelekea kupanda bei kutokana na kuadimika kwake yamebaki tu yale ya wakulima wadogo kupeleka masokoni kwa ajili ya juice ila toka mwaka 2015 hakuna mkulima mkubwa aliyelalamika amekosa soko la maparachichi...asa hivi maparachichi ni kama dhahabu hao wakenya wamejazana kilimanjaro kununua maparachichi kwa bei ya jumla
 
maparachichi yenyewe wafanyabiashara wa kenya wanayachukua njombe, hebu wajaribu kutuletea tena kisirani tuwazuie tuone kama huko china watasafirisha mawe?
 
Ahaaa haaa haaa
Look, whenever you engage facts and figures in your discussions, it's advised to show where keen readers could go to do the content analysis.
Apparently that is not the strength of people from your side of the border. so anything that can be asserted without evidence can be disproved without evidence. Also, i would think that people will always try to fact check things, but I think I overestimated the capacity for reason from our southern neighbours, honestly Ugandans reason in a far much more sophisticated manner and with a lot of nuance than our neighbours to the south, probably it is due to our shared history of strong educational values. They will fact check things and critique. I have put out the premise of my argument it is, you to produce counter arguments that disprove my arguments, if they are credible i am not unable to

1) https://businesstoday.co.ke/xinhua-builds-africa-regional-bureau-nairobi/
2) https://www.researchgate.net/publication/267683079_STATUS_OF_AVOCADO_PRODUCTION_IN_KENYA
3) http://kenyaavocados.co.ke/
4) We host the largest UN office outside the west( our show of diplomatic might), we host the largest number of envoys in the region. Anc companies have been shifting and setting up their africa HQ in Kenya eg. General electric (Moved from south africa to Nairobi), google, facebook, microsoft, xinhua news network, start times, Airtel the list is very long.
As i said a simple google search does wonders to expand the horizons of your mind.
 
As asserted above, the influence of kenya runs far beyond her borders, and world powers see kenya as an easy route to assert their presence on the continent. Israel ran to kenya to lobby for an observer seat at the AU, even though the AU is fighting kenya on this evidence from the opening of the american embassy in Jerusalem, shows kenya is winning to get Israel back into Africa. The chinese take notice of this soft power that kenya wields and they would like to also use it to gain influence on the continent.
 
Kwanini zinalimwa kama yanaozea tu mashambami... kwani ni mara ya kwanza kuozea mashambani??? Miaka nenda rudi, kama yanaozea mashambani, narudia tena, kwanini zinalimwa????????
Very good question, they say the indication of an insane person is doing the same thing and expecting different results.
 
Huo ni mtazamo wa kifukara wakati unawategemea wayanunue ili upate senti za kuwasomesha wanao kwani ukikataa kuwauzia ataumia nani?
maparachichi yenyewe wafanyabiashara wa kenya wanayachukua njombe, hebu wajaribu kutuletea tena kisirani tuwazuie tuone kama huko china watasafirisha mawe?
 
Itoshe kuwapongeza hao wakenya kwa kuchangamkia biashara
 
Kwa uhalisia, Kenya wamejipanga siku nyingi sana kwenye sekta ya mbogamboga, maua na matunda... Ukiangalia vyanzo mbalimbali vya taarifa kwa foreign earning projections, mwaka jana wenzetu maingizo ya Horticulture yalikuwa kati ya USD 104 ndani ya miezi 8. Taarifa ya mwisho wa mwaka waligonga USD 153 bil.

Kwetu hapa, taarifa toka TAHA (Tanzania Horticultural Association) iliyotolewa na Jacquelene Nkindi, Tanzania tulikuwa tunategemea kuvuna USD 1.3 bil ndani ya miaka 3 - 5;

Where do we fail; hatuna wazalishaji wengi
Part ya kinachazalishwa kinakuwa exported kupitia Kenya kwa kuwa kwa muda mrefu hatukuwa na ndege za kusafirisha mizigo.
Kwa kuwa hatukuwa tumejiandaa kwa pamoja kimkakati, airports zetu hazikuwa na cold-rooms kwa ajili ya storage ya horticultural products including parachichi

We have a long way to go kama tutadhania mambo yatatokea by default settings. Ila kama tutakuwa na mkakati wa pamoja kutoka wizara ya Kilimo/Uwekezaji/Uchukuzi na Fedha kuwa na agri-financing kwa ajili ya kupanua uwekezaji kwenye kilimo, tuna nafasi ya kupiga bao mbele ya safari.
It needs deliberate effort to arrive there and investment strategy to speed up the production which will increase the volume of what is needed in the market.

Tanzania ni yetu sote, tukiamua kwa pamoja tunaweza kuneemeka na foreign earnings including parachichi
 
The world production for avocado is around 3 million metric tons. Kenya exports about 10,000 metric tons (4%) and is ranked the 6th producer after Mexico, Chile, South Africa, Israel and Spain.
 
Mna mashamba ya kulima maparachichi au ndo mnategemea kuja kuiba Tanzania
Ndio maana amekuambia kabisa,amekuambia mengi pale kwamba 1. Huwezi kubarikiwa kila kitu,akimaanisha uwe na mashamba (Tz) ubarikiwe na akili ya kutafuta soko kama (Kny). 2. Amekuambia kule kutafuta soko hakuna ze,ze,ze. Akimaanisha hizo siasa zenu za kutafutana wenyewe kwa wenyewe badala ya kutafuta masoko kama hayo. 3. Amekuambia wenyewe wametafuta soko wewe mwenye mashamba lakini usie na akili ya kutafuta soko,endelea kuwa mkulima,lakini soko lako litakuwa kenya,then wao kenya watanunua kwako kwa bei ya (200 kilo,wao watapekeka kwenye soko lao china kwa 1000,usilalamike,si huna akili ya kutafuta soko unalima tu,mfano tu huo).
Mwisho jamaa nimemuelewa sana. 1. Anakuamsha ulielala. 2. Bado hata kama tutauza kwao kenya,itakuwa poa kuliko soko la ndani tu
 
Siamini sana hizi move, tangu mwaka juzi Serikali imesaini mkataba na china kununua mihogo, lakinj hadi leo hii ni kazi ngum sana kuuza mihogo kupeleka China. Hata taarifa tu za hayo makampuni yanayonunua ni shida kuyapata. Mwaka jana nilikua nina hekari 25 za mihogo, ilibidi kuuzia tu wafanyabiashara wa ndani. Access ya haya masoko ya kigeni ni magum.
 
Acha apige bao,ikiwa kutwa kucha mnajadili personalities za watu badala ya ideas ?.
Mtu akijamba mnakaa nalo mwezi,fursa zinaanza na wewe,sotoka yako naona imekomaa
 
Naona umeamua kuwapa makavu wana ccm wenzako
Acha apige bao,ikiwa kutwa kucha mnajadili personalities za watu badala ya ideas ?.
Mtu akijamba mnakaa nalo mwezi,fursa zinaanza na wewe,sotoka yako naona imekomaa
 
Kweli kabisa mkuu.

Tunashindwa kuziona fursa tunabaki kupambania vyama vyetu vya siasa au kuleta kila kitu kwenye kapu la siasa.
Fursa zipi ambazo hujaziona ? Mumeshapewa soko kupeleka mihogo china, umefuatilia ? Mnaambia comoro wana uhitaji mkubwa wa bidhaa mf nyama, nafaka nk, zambia, wanahitaji vyakula, sudan nk ni fursa ipi ww unahitaji au ni kulalamika, poor you !!
 
Tatizo letu hapa watendaji wetu kila kitu wanafanya kwa siasa na jambo hilo linazidi kutudidimiza kwa kila idara.
Kuwafikia kenya itakuwa ni ndoto
 
maparachichi yenyewe wafanyabiashara wa kenya wanayachukua njombe, hebu wajaribu kutuletea tena kisirani tuwazuie tuone kama huko china watasafirisha mawe?
Hii ndiyo lugha ya mtanzania halisi, tena halisi sana, yuko tayari kumuua mkulima eti anamkomoa mfanya biashara kutoka kenya, mentality hii hatutoki ngoo
 
Wao wamekimbilia wanasema ukikutwa na mfuko fine.....wao wanafikiria kuchuma tu

Ova
 
Waambie mbw. Hawa kitu wanchoweza ni kununua wapinzani full stop
 
Yule ni mfanyabiashara mkubwa kwa hiyo si ajabu. Sitaona ajabu ikiwa watakuja kununua kwetu halafu wa export kama zao la kenya. Inatakiwa wizara husika zizinduke bila kungoja amri.
Izinduke nn kwann na wao wasiwatafutie masoko bidhaa wakulima na wafanyabiashara

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…