joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
But you can't afford to pay for your SGR despite of your fake GDP, only $3.6B forces you to end your SGR to Naivasha.Shida za TZ na za Kenya ni tofauti sana. Wakenya wengi wamepanda parachichi kwa wingi kwa muda wa miaka tano iliyopita.
Hii deal itawapa wengi wao mapato maradufu.. hilo jambo litawafikia wananchi mashinani. Wakenya wamefurahia jambo hilo.
Kwa hivyo ukiskia tumeuza 1USD Billion of avocados , hiyo pesa imeingia kwenye mifuko ya Wakenya.
Our farming is export oriented, that is why your economy is 60B USD na KE ni 100B USD, hata kama mna resources na nchi yenye rutuba na mvua nyingi. PUGA
Ninyi ni watu wa SIFA za kijinga wakati uchumi wenu unazidi kuporomoka, ninauhakika hiyo pesa Magufuli anaweza kuwakopesha mkiacha ujinga wenu.
Hahahahaha.