Safari ya Simba kwenda Dubai haipo kiuweledi

Safari ya Simba kwenda Dubai haipo kiuweledi

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
 
Hata waahirishe, wakirudi watafungwa tu. Kama mpaka leo timu imemsajili mchezaji mmoja tu; tena Saido Ntibazonkiza!! Tutegemee maajabu gani kwenye hiyo safari yao!!

Ni kupoteza tu muda.
 
Unadhani kina Messi na Pele waliwezaje kuwa na rekodi zilizotukuka siyo tu za magoli lakini hata za mechi walizocheza? Na hata michezo mingine kama basketball, wachezaji wanacheza mechi nyingi sana katika career zao.

Kukiwa na facilities nzuri kambini, wanakula vuzuri na kuna waangalizi wazuri wa afya zao, mchezaji anatakiwa achezeee.

Sisi tunataka wachezaji wetu wacheze mara moja kwa wiki.
 
Unadhani kina Messi na Pele waliwezaje kuwa na rekodi zilizotukuka siyo tu za magoli lakini hata za mechi walizocheza? Na hata michezo mingine kama basketball, wachezaji wanacheza mechi nyingi sana katika career zao.

Kukiwa na facilities nzuri kambini, wanakula vuzuri na kuna waangalizi wazuri wa afya zao, mchezaji anatakiwa achezeee.

Sisi tunataka wachezaji wetu wacheze mara moja kwa wiki.
Kwanini ulaya wanafanya rotation ya wachezaji?
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Tulieni nyie watoto wa kambo. Ruksa kwenda Kigamboni, nani alikwambia tunachoka kusafiri?
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Watu wanaposema Yanga kuna wapuuzi wengi sana nilikuwa sielewi wanamaanisha nini,lakini kwa thread hii na mimi nakazia Yanga majuha wengi sana
 
Watu wanaposema Yanga kuna wapuuzi wengi sana nilikuwa sielewi wanamaanisha nini,lakini kwa thread hii na mimi nakazia Yanga majuha wengi sana
Wapuuzi ni nyie ambao mna mechi tarehe 17 dhidi ya Mbeya city halafu kama vile hamjui mnacheza mechi ya kirafiki tarehe 15. Option ni lazima kughairi ratiba ya Dubai au kuiomba bodi ya ligi isogezwe mechi mbele. Sasa wakati mnaenda Dubai hamkujua ratiba ya ligi ni lini kama sio wapuuzi nyie?
 
Wapuuzi ni nyie ambao mna mechi tarehe 17 dhidi ya Mbeya city halafu kama vile hamjui mnacheza mechi ya kirafiki tarehe 15. Option ni lazima kughairi ratiba ya Dubai au kuiomba bodi ya ligi isogezwe mechi mbele. Sasa wakati mnaenda Dubai hamkujua ratiba ya ligi ni lini kama sio wapuuzi nyie?
Mechi itaahirishwa usijizime data Simba ni Taifa Kubwa. Kataa kubali Yanga nyie wapuuzi sana
 
Wapuuzi ni nyie ambao mna mechi tarehe 17 dhidi ya Mbeya city halafu kama vile hamjui mnacheza mechi ya kirafiki tarehe 15. Option ni lazima kughairi ratiba ya Dubai au kuiomba bodi ya ligi isogezwe mechi mbele. Sasa wakati mnaenda Dubai hamkujua ratiba ya ligi ni lini kama sio wapuuzi nyie?
Usijitingishe sindano itavunjikia.
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Kikubwa umesema binafsi hujaona manufaa ila ww sio mtoa pesa huna chochote unachangia pale simba huna lolote unaweza badili na ingekua ww ungekata kwenda na team dubai kama viongozi washaamua. Usijipe umuhimu kwenye jambo ambalo hujulikani wala hawatarajii kwamba kuna kinyamkera kama ww. Unajichosha kukaza mshipa kuandika mawazo yako finyu
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Umeanza lini kuwaonea huruma Simba
 
Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.
1673387930909.png
 
Simba Ina uhaba wa wachezaji Muhimu wa Nafasi 3.

Kiungo Mkabaji.

Kiungo wa Kati.

Mshambuliaji.

Kama wakishindwa kusajili Basi safari ya Dubai itakuwa na Bure tu. Itakuwa ni Ubatili mtupu.
 
Back
Top Bottom