Safari ya Simba kwenda Dubai haipo kiuweledi

Safari ya Simba kwenda Dubai haipo kiuweledi

Inaongeza uchovu kwani unaenda na coaster ni masaa matano tu na fly Emirates unashtukia umeshafika tayari kwa hyo suala la uchovu sio kweli kama unavyoelezea hapo.
 
Simba Inawaza klabu bingwa makundi yatakayoanza mwezi wa pili. Kama siku 30 hivi.

Halafu mtu akienda na ndege Dubai anafika kabla ya mtu aliyeenda Mwanza kwa basi.(kutokea Dar)
 
Wapuuzi ni nyie ambao mna mechi tarehe 17 dhidi ya Mbeya city halafu kama vile hamjui mnacheza mechi ya kirafiki tarehe 15. Option ni lazima kughairi ratiba ya Dubai au kuiomba bodi ya ligi isogezwe mechi mbele. Sasa wakati mnaenda Dubai hamkujua ratiba ya ligi ni lini kama sio wapuuzi nyie?
We naye mweupe

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Dogo... Wao wameshaenda... Na wewe umebaki hapa unaumia. Mi nlienda huko Mwezi wa 12. Acha watu wa enjoy ukikosa nafasi wewe usiwachukie wenzio. Mambo ya Ngoswe Mwachie Ngoswe.
 
Wapuuzi ni nyie ambao mna mechi tarehe 17 dhidi ya Mbeya city halafu kama vile hamjui mnacheza mechi ya kirafiki tarehe 15. Option ni lazima kughairi ratiba ya Dubai au kuiomba bodi ya ligi isogezwe mechi mbele. Sasa wakati mnaenda Dubai hamkujua ratiba ya ligi ni lini kama sio wapuuzi nyie?
Kunywa maji... Matatizo ya maisha yako na hasira usisukumie wengine jifunze kuvumilia then jipange yataisha tu hayo.
 
Umegundua safari haipo kiuweledi na haina manufaa, wewe ukiwa kama nani?

Ikiwa team nzima pamoja na kocha, viongozi, madaktari, wachezaji na benchi la ufundi kwa pamoja wameona kuna manufaa, wewe ni nani basi hata uwapangie?
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Acheni wivu mnaweza kwenda kigamboni tu mkachone mihogo hamjakatazwa.

Halafu kile kijamaa chenu njiti mkionye kisitupe hovyo maganda ya mihogo.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Habari.....

Simba baada ya kutolewa kwenye michuano ya Mapinduzi wakapanga safari ya Dubai. Hii safari ipo kisanii sana, kiukweli kutokana na ufinyu wa muda sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Simba kwenda Dubai.

Wachezaji hawana miili ya chuma kuna wasaa wanahitaji kupumzika lakini unawasafirisha kwenda mbali safari tu inaongeza uchovu. Mbali na hapo kuna session kabambe zimepangwa na kocha za mazoezi.

Kuna ratiba ya mechi ya ligi kuu tarehe 17 mwezi huu lakini ndio kwanza wameomba mechi za kirafiki za majaribio, ni kama wale wanafunzi wanaokomaa kujisomea siku za mtihani hadi dakika dakika za kuingia ndani ya mtihani kana kwamba siku zote hakujua kama ana mtihani mbele yake.

Tarehe 15 wameomba mechi ya kirafiki na huku tarehe 17 wanatakiwa kucheza mechi ya NBC dhidi ya Mbeya City sasa haya yanafanywa kwavile wanajua nipo wanajulikana wenye mamlaka ya soka ni mtu wa namna gani hivyo ni rahisi kwa mechi kughairishwa ama hawakujua ratiba ya ligi?

Binafsi sijaona manufaa ya hii safari zaidi ya kwenda kuwachosha wachezaji kwasababu ya ufinyu wa muda labda kama kuna kitu chini ya pazia kilicholengwa juu hii safari kwa mgongo wa kambi.
Wameenda na kosta?😅😅 maana mlisusia bidhaa za Azamu mmerudije Dar 🤣🤣🤣🤣
 
Hata waahirishe, wakirudi watafungwa tu. Kama mpaka leo timu imemsajili mchezaji mmoja tu; tena Saido Ntibazonkiza!! Tutegemee maajabu gani kwenye hiyo safari yao!!

Ni kupoteza tu muda.

Yanga imesajili wangapi mkuu?
 
Back
Top Bottom