youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Ama kweli ukishangaa ya Wema utayaona ya Binti kiziwi,yaani kabisa Wema wakusubir 2020,badala ya kumshauri aanzee kufanya movies kimataifa bado,afu unajifariji kuwa Wema anaweza siasa..jipangeMungu akusimamie mwaya, Hongera kwa Wema kura 90 si mchezo, sasa ni wakati wake wa kujipendekeza jimboni kikamilifu 2020 atabadilisha sana matokeo, Ngoja nami nianze 2020 ntasimama nae kama atagombea tena.
Ama kweli ukishangaa ya Wema utayaona ya Binti kiziwi,yaani kabisa Wema wakupewa 2020,badala ya kumshauri aanzee kufanya movies kimataifa bado,afu unajifariji kuwa Wema anaweza siasa..jipange
Hujui kama Wema alijipanga zaidi kisiasa kipindi hiki kupitia skendo,kwasababu kwake yy alivyomchovu wa fikra,alidhani upuuzi wake utambeba,now anajibeba mwenyewe,so kwa miaka mitano ijayo,ndo atazidi kupotea kwenye ramani,cha msingi abaki njia kuu,siasa kwake sio dili,bongo movie yatoshaWema ni mtu tu kama sisi wengine, hana chochote kilichopungua wala kilichozidi, siasa ni mipango ye hakujipanga mapema ndio maana pengine yametokea hayo, lakini kwa matokeo hayo ameprove kuwa angejipanga zaidi ya hapo matokeo yangebadilika kwa kiasi kikubwa. Kama kweli anania ya kuupata ubunge ni muda sasa wakufocus kwenye kujijenga kisiasa, kupunguza negative rep, kujipendekeza huko jimboni haswa kwa viongozi wa UWT ili baadae wamsaidie katika kampeni kwa wajumbe.
Unawazo zuri,japo majungu,kumbuka huwezi chukiwa na kila MTU,Luna wengine Wema kwao ni rollmodo..?!hawa wa singida nao mapoyoyo....muuza k alitakiwa apate kura sufuri.....
Hizo kura alizopata ni dhahiri kuwa,Wema anatype fulani hivi ya fans damdam mileleDah huyu alitakiwa apate japo kura 2 tu, hana la maana hata moja huyu,
Kwani hizo kura mbili ambazo angepata Mwanza zingetoka kwa watu wa type ganiTena angekua mwanza angepata kura mbili
mkuu bunge lililopita mkoa wa singida walitoa wabunge wawili viti maalum,,martha mlata na diana chilolo.hivyo inawezekana mlata akapetaWasalaam wanajamvi!
Safari ya Mwana dada Wema sepetu imeishia UWT baada ya kupata kura 90! Hata hivyo naye martha mrata kaangukia pua baada ya kupata kura 235! Huku Asharose Mattembe akipata kura 311
Hata hivyo pengine Wema anaweza kupitishwa kama NEC wakiona kuna sababu ya kumpa nafasi!
Nichukue fursa hii kumpongeza Wema kwa kujaribu.
Tena angekua mwanza angepata kura mbili
warumi tumeroga imewezekanaa hureeeeeeeeeeee dawa zetu kaliuii aisee niliamini hapiti,nikaona ninyamazeee,asante mola maana tusingepumuaaa humu ndanii
Hivi unaweza kujua kwanini aliingia huko UWT kwenye hiyo mimama mizoefu na sio UVCCM kwa vijana au chipukizi wenzake? Au hakujua hiyo tofauti??Wasalaam wanajamvi!
Safari ya Mwana dada Wema sepetu imeishia UWT baada ya kupata kura 90! Hata hivyo naye martha mrata kaangukia pua baada ya kupata kura 235! Huku Asharose Mattembe akipata kura 311
Hata hivyo pengine Wema anaweza kupitishwa kama NEC wakiona kuna sababu ya kumpa nafasi!
Nichukue fursa hii kumpongeza Wema kwa kujaribu.
Kuna watu wanapenda kuwanyima raha wenzao pasi na sababu,haya ulijificha wapi mpaka unalifanya jukwaa liwe kama mchuzi uliokosa ndimu na chumvi?Ahahha warumi nimerudi rasmi katika ubora wangu