Safari ya Wema kuelekea bungeni yaishia UWT

Safari ya Wema kuelekea bungeni yaishia UWT

hivi wapi na wapi achaguliwe... yaani huko singida ni mgeni kabisa na hana hata experience na huu mji anyway nlichofurahi sio kushindwa kwake Bali in kwamba watanzania was huko singida wanajielewa
 
hawezi kupita mana yeye ndio kapata kura chache ila ndio ajue malipo ni hapahapa.....angepita leo wa2 wangeoga mvua ya matusi na hao vinuka mkojo wke,wewe hakui alijua usupastaa njaa utambeba
Aiseee
 
hivi wapi na wapi achaguliwe... yaani huko singida ni mgeni kabisa na hana hata experience na huu mji anyway nlichofurahi sio kushindwa kwake Bali in kwamba watanzania was huko singida wanajielewa
Aaanze harakati sasa..
 
mie nimemuonea chilolo na martha kwa kweli..sio kwa kukatwa vile hahaa..kweli mwaka huu mambo ni virse versa...
Hatari sana mwaka huu bunge litakuwa na sura mpya sana..
 
mie nimemuonea chilolo na martha kwa kweli..sio kwa kukatwa vile hahaa..kweli mwaka huu mambo ni virse versa...

Martha ameshika nafasi ya pili, Chilolo ndio kaangukia pua maskini
 
Duh, kakatwaaa...nlisema Mimi wanawake hawampitishi.. Kama mijishangingi huko UWT ndo imejaa plus fitna za hatari. Shikamoo CCM...bora angeenda ACT tuu.

Hahaaa kilaza kalazwa alijua singida ni maboya.....hayo majimama nayapa ofa ya viroba chapa jogoo carton 10..kweli ule usemi wa mjini msingi kiuno umefeli
 
Back
Top Bottom