Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kundi lipo wazi kama Yanga ataweza kuwin game zake mbili.Hii unadhani ni nyepesi kiongozi au hapa ndio kwamba adui muombee njaaBado kundi lipo wazi, Yanga akishinda mechi zake halafu ikawa hivi ikawa vile, tuka, waka inapita.
Punguza Wenge mbumbumbu.Good Bye Yanga !! Mpaka mwakani.
Mc Alger ana points 5, Mechi ya mwisho anacheza na kibonde wa kundi Mazembe uwanja wa nyumbani
Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
View attachment 3193688
Gusa achia twende kwao yanga anatakiwa ashinde game mbili zilizobaki bila kujali matokeo ya wengine anafuzuGood Bye Yanga !! Mpaka mwakani.
Mc Alger ana points 5, Mechi ya mwisho anacheza na kibonde wa kundi Mazembe uwanja wa nyumbani
Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
View attachment 3193688
Tuki waki inahusika mkuu, Mazembe anaweza fufuka ukashangaa kamsaidia Yanga.Kundi lipo wazi kama Yanga ataweza kuwin game zake mbili.Hii unadhani ni nyepesi kiongozi au hapa ndio kwamba adui muombee njaa
Hapa ndio hesabu za vijiti zinapo anza sasa.Yanga waliharibu kukubali kufungwa game na Al hilalTuki waki inahusika mkuu, Mazembe anaweza fufuka ukashangaa kamsaidia Yanga.
Hao Hilal hata leo ukiwaona wanavyocheza sijui itakuaje.Hapa ndio hesabu za vijiti zinapo anza sasa.Yanga waliharibu kukubali kufungwa game na Al hilal
Yanga anaweza kukaza tu, sema kumaliza kwenye nafasi mbili za juu bado ni kitendawili kwao.Bado akiwin game zake mbili inabidi kuomba pia Mazembe amfanyie wepesi kwa Mc Alger tabu tupuHao Hilal hata leo ukiwaona wanavyocheza sijui itakuaje.
Yanga akishinda mechi zake wala haihataji ikawa hivi, ikawa vile kwasababu automatically Mc Alger watakuwa wamepoteza point 3Bado kundi lipo wazi, Yanga akishinda mechi zake halafu ikawa hivi ikawa vile, tuka, waka inapita.
Ndo maana nasema Yanga shortcut nzuri ni mazembe kumtuliza Alger.Yanga anaweza kukaza tu, sema kumaliza kwenye nafasi mbili za juu bado ni kitendawili kwao.Bado akiwin game zake mbili inabidi kuomba pia Mazembe amfanyie wepesi kwa Mc Alger tabu tupu