Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

Baada ya ushindi wa Yanga jana ugenini- Uwezekano wa kushinda mechi iliyosalia nyumbani ni 90% na hivyo kutinga hatua inayofuata ya robo fainali. Kila la heri watani wa jadi.
 
Hakuna hata mechi moja kati ya zilizosalia ambazo Utopolo watashinda. MC Alger siyo timu ya kitoto. Uzoefu ni kwamba wana uwezo wa kufunga hata ugenini. Sasa kwa mabeki wale wachovu akina Bacca mjiandae kisaikolojia mkipanda zinapigwa counters imooo. Kwa Al Hilal ndio msahau kabisa. Ibenge kama kuwaachia atawaachia Wakongomani wenzake na siyo nyie. Kiuwezo Al Hilal wameizidi Utopolo mbingu na ardhi hamuwawezi.
KOLO MUHAN.
 
Tunataka pwenri 3 Jumamosi.....piga ua lazima .......
 
Back
Top Bottom