Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

Mbona picha nyingi ni za Njombe M
Ak
Mkuu naona picha nyingi ni za kuanzia Mpongo hadi kipengele hapo.... Au uliipenda Njombe?
 
Hizo pic zako ungekuwa unazipa na rebo kabisa ili tujue ni wapi, hongera sana kwa safari, wengine tukisafiri sana chalinze na bagamoyo [emoji23]
Nilipenda nione picha za akiwa
Dodoma na Manyoni Ila sijaziona
 
Mie huwa nawaza kwamba, pengine wakikamilisha hizo barabara kwa wakati TRC watakosa soko kwenye treni lao
 
Mbona picha nyingi ni za Njombe M

Ak

Mkuu naona picha nyingi ni za kuanzia Mpongo hadi kipengele hapo.... Au uliipenda Njombe?
Njombe ni pazuri sana sana. Nilitaman sana kufika Kitulo, kwenye Bustani ya Dunia.... Njombe inanikumbusha mengi. Njombe is the best acha kabisa
 
Duhhhh hiyo IST ndo umepiga nayo masafa marefu hivyo.. anyway nzur sana mkuu nakumbuka mwaka jana nilipiga road trip dar-arusha-karatu-babati-hydom-singida-dodoma-dar n nzur kwa kwel especially upo na kampan ya watu wawil ...
Naiheshimu IST tofauti na zamani japo wakati mwingine unanyanyasika sana barabarani. Wiki mbili zilizopita niliitumia toka Morogoro mpaka Kibondo na kurudi bila shida pamoja na kupita barabara ya vumbi Kakonko mpaka Kibondo
 
Naiheshimu IST tofauti na zamani japo wakati mwingine unanyanyasika sana barabarani. Wiki mbili zilizopita niliitumia toka Morogoro mpaka Kibondo na kurudi bila shida pamoja na kupita barabara ya vumbi Kakonko mpaka Kibondo
Hongera sana, hazina shida mbona? Niliwahi kusafiri na Suzuki Kei CC 990
 
Hii ni kawaida sana kwa Wabongo, huwa hatukosi Cha kukosoa, it's okay nimeanzia safari Ubungo Hadi Kibaha nikageuza Dar
Hivi kama kote ulipiga picha maana ni utalii, naziomba na hizo za Manyoni na Dodoma, si mbaya na Tabora pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…