Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

Mkuu hiyo number 1 next year lazm niipige trip hiyo.. me huwa nasema utalii wa ndani sio lazm kwenda kuangalia wanyama Serengeti au Ngorongoro hata road trip ni utalii mzur mnoooo
 
Hii taarifa sio sahihi kabisa ndugu zangu, nimeiona kwenye mitandao nikacheka sana. Hakuna sehemu kama hio kwa sababu Barabara Iko chini ya mkandarasi ambaye anakua responsible na issues zote kuhakikisha Barabara inapitika kama kawaida. Sio kweli
Unamaanisha nini ukisema sio kweli? unafaham hapo ni wapi? tuambie
 
Mkuu hiyo number 1 next year lazm niipige trip hiyo.. me huwa nasema utalii wa ndani sio lazm kwenda kuangalia wanyama Serengeti au Ngorongoro hata road trip ni utalii mzur mnoooo
Saaaana sana!
 
Nilipenda nione picha za akiwa
Dodoma na Manyoni Ila sijaziona
Hapo ndiyo kwenu? Ndiyo maana unazitaka hizo itakuwa kaanza na hizo si unajua hatujamtuma kaamua mwenyewe kwa mapenzi yake , Dodoma kwenyewe hakuna hata misitu yakuvutia bali ni jangwa tu vile vindama wanavyo chunga barabarani
 
Nilipenda nione picha za akiwa
Dodoma na Manyoni Ila sijaziona
Hii hapa ni Dodoma baada ya kujaza Mafuta. Hope umeridhika Mpwa. Unaweza kuangalia tarehe na muda niliokua Dodoma. Nimeongeza na details Mpwa. Hope umeamini sasa.



 
Sio nkata bay ni mbamba bay,nkata bay iko Malawi
 
Ila kusema ukweli hii nchi kuna watu wanakula maisha, mtu mwenye uwezo wa kupiga ruti yote hii tena kwa usafiri binafsi ni wazi keshavuka kabisa level za shida ndogo ndogo. Hongera mkuu nasi tupambane inshaallah! Kufanikiwa kukwepa mabasi na mslori pia ni umakini mkubwa.
 
Ngoja nikutafutie wimbo wa Dolly Parton wa Coat of Many Colors
 
Joseph, naomba usome huu wimbo, concentrate kwenye ubeti wa mwisho anapozungumzia suala la Umaskini.... that's a brotherly advice to you.


Back through the years
I go wonderin' once again
Back to the seasons of my youth
I recall a box of rags that someone gave us
And how my momma put the rags to use
There were rags of many colors
Every piece was small
And I didn't have a coat
And it was way down in the fall
Momma sewed the rags together
Sewin' every piece with love
She made my coat of many colors
That I was so proud of
As she sewed, she told a story
From the Bible, she had read
About a coat of many colors
Joseph wore and then she said
Perhaps this coat will bring you
Good luck and happiness
And I just couldn't wait to wear it
And momma blessed it with a kiss
My coat of many colors
That my momma made for me
Made only from rags
But I wore it so proudly
Although we had no money
I was rich as I could be
In my coat of many colors
My momma made for me
So with patches on my britches
And holes in both my shoes
In my coat of many colors
I hurried off to school
Just to find the others laughing
And making fun of me
In my coat of many colors
My momma made for me
And oh, I couldn't understand it
For I felt I was rich
And I told 'em of the love
My momma sewed in every stitch
And I told 'em all the story
Momma told me while she sewed
And how my coat of many colors
Was worth more than all their clothes
But they didn't understand it
And I tried to make them see
That one is only poor
Only if they choose to be
Now I know we had no money
But I was rich as I could be
In my coat of many colors
My momma made for me
Made just for me
 

Next time karibu Kigoma wenyeji tupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…