Safari yangu ya kijijini

Safari yangu ya kijijini

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Siku mbili tatu zilizopita, nilijaribu kutembelea vijiji kadhaa katika mikoa mitatu; nilichokutana nacho huko ni kama ifuatavyo:-

Vijana wamepungua vijijini
Kuna vijana wachache sana, waliobaki vijijini; nilikuwa natembea umbali mrefu sana bila kukutana na mtu/kijana.
Katika mita sq 2000 naweza kubahatisha kukutana na kijana mmoja au hakuna.

Wazee ni wachache
Hii inatokana na wengi kufikia umri mkubwa na kufariki, na hatimaye idadi kupungua.

Vijana waliopo vijijini wanazeeka haraka
Baadhi niliokutana nao walikuwa na sura au miili ya kuwa wazee, kutokana na mazingira ya kijiji au unywaji wa pombe unaopelekea kuchoka mapema.

Majengo/nyumba hazina watu
Watu wanajenga kijijini lakini wanaishi mjini; na huku kijijini wanakuja kipindi cha mwisho wa mwaka, na kupelekea nyumba nyingi kutokuwa na wakaaji au kuonekana maghofu.

Fursa nyingi kijijini ila wajanja hawataki kuwekeza vijijini
~ Kuna ardhi yenye rutuba.
~ Kuna vyanzo vya maji.
~ Kuna nguvu kazi nafuu 'cheap labour' n.k.

Ushauri
Tuliopo mjini, tujitahidi tuwekeze kijijini kwa uzalishaji, na masoko yawe mjini; hii itaongeza idadi ya watu vijijini pamoja na kuboresha maisha ya wakazi wote wa vijijini, kuliko kwenda kuwarushia matope na vumbi kipindi cha mapumziko.​
 
Siku mbili tatu zilizopita, nilijaribu kutembelea vijiji kadhaa katika mikoa mitatu; nilichokutana nacho huko ni kama ifuatavyo:-

Vijana wamepungua vijijini
Kuna vijana wachache sana, waliobaki vijijini; nilikuwa natembea umbali mrefu sana bila kukutana na mtu/kijana.
Katika mita sq 2000 naweza kubahatisha kukutana na kijana mmoja au hakuna.

Wazee ni wachache
Hii inatokana na wengi kufikia umri mkubwa na kufariki, na hatimaye idadi kupungua.

Vijana waliopo vijijini wanazeeka haraka
Baadhi niliokutana nao walikuwa na sura au miili ya kuwa wazee, kutokana na mazingira ya kijiji au unywaji wa pombe unaopelekea kuchoka mapema.

Majengo/nyumba hazina watu
Watu wanajenga kijijini lakini wanaishi mjini; na huku kijijini wanakuja kipindi cha mwisho wa mwaka, na kupelekea nyumba nyingi kutokuwa na wakaaji au kuonekana maghofu.

Fursa nyingi kijijini ila wajanja hawataki kuwekeza vijijini
Kuna ardhi yenye rutuba
Kuna vyanzo vya maji
Kuna nguvu kazi nafuu 'cheap labour' n.k

Ushauri
Tuliopo mjini, tujitahidi tuwekeze kijijini kwa uzalishaji, na masoko yawe mjini; hii itaongeza idadi ya watu vijijini pamoja na kuboresha maisha ya wakazi wote wa vijijini.
Kuliko kwenda kuwarushia matope na vumbi kipindi cha mapumziko.​
Maelezo yako ni ya kijumla jumla sana.Taja mikoa na vijiji ulivyotembelea
 
Siku mbili tatu zilizopita, nilijaribu kutembelea vijiji kadhaa katika mikoa mitatu; nilichokutana nacho huko ni kama ifuatavyo:-

Vijana wamepungua vijijini
Kuna vijana wachache sana, waliobaki vijijini; nilikuwa natembea umbali mrefu sana bila kukutana na mtu/kijana.
Katika mita sq 2000 naweza kubahatisha kukutana na kijana mmoja au hakuna.

Wazee ni wachache
Hii inatokana na wengi kufikia umri mkubwa na kufariki, na hatimaye idadi kupungua.

Vijana waliopo vijijini wanazeeka haraka
Baadhi niliokutana nao walikuwa na sura au miili ya kuwa wazee, kutokana na mazingira ya kijiji au unywaji wa pombe unaopelekea kuchoka mapema.

Majengo/nyumba hazina watu
Watu wanajenga kijijini lakini wanaishi mjini; na huku kijijini wanakuja kipindi cha mwisho wa mwaka, na kupelekea nyumba nyingi kutokuwa na wakaaji au kuonekana maghofu.

Fursa nyingi kijijini ila wajanja hawataki kuwekeza vijijini
~ Kuna ardhi yenye rutuba.
~ Kuna vyanzo vya maji.
~ Kuna nguvu kazi nafuu 'cheap labour' n.k.

Ushauri
Tuliopo mjini, tujitahidi tuwekeze kijijini kwa uzalishaji, na masoko yawe mjini; hii itaongeza idadi ya watu vijijini pamoja na kuboresha maisha ya wakazi wote wa vijijini, kuliko kwenda kuwarushia matope na vumbi kipindi cha mapumziko.​
Ushauri mzuri sema ulibahatika kuangalia hali ya unywaji wa pombe kwa vijana na biashara ya boda boda? maana kijiji na mjiini kila kijana anatamaninkuwa boda boda maana kuna pessa ya sharp sharp uku wana enjoy ku ride na kupata watoto wa kike na wamama as well.
sasa kumpeleka sijui kushika jembe kazi kweli kweli
 
Siku mbili tatu zilizopita, nilijaribu kutembelea vijiji kadhaa katika mikoa mitatu; nilichokutana nacho huko ni kama ifuatavyo:-

Vijana wamepungua vijijini
Kuna vijana wachache sana, waliobaki vijijini; nilikuwa natembea umbali mrefu sana bila kukutana na mtu/kijana.
Katika mita sq 2000 naweza kubahatisha kukutana na kijana mmoja au hakuna.

Wazee ni wachache
Hii inatokana na wengi kufikia umri mkubwa na kufariki, na hatimaye idadi kupungua.

Vijana waliopo vijijini wanazeeka haraka
Baadhi niliokutana nao walikuwa na sura au miili ya kuwa wazee, kutokana na mazingira ya kijiji au unywaji wa pombe unaopelekea kuchoka mapema.

Majengo/nyumba hazina watu
Watu wanajenga kijijini lakini wanaishi mjini; na huku kijijini wanakuja kipindi cha mwisho wa mwaka, na kupelekea nyumba nyingi kutokuwa na wakaaji au kuonekana maghofu.

Fursa nyingi kijijini ila wajanja hawataki kuwekeza vijijini
~ Kuna ardhi yenye rutuba.
~ Kuna vyanzo vya maji.
~ Kuna nguvu kazi nafuu 'cheap labour' n.k.

Ushauri
Tuliopo mjini, tujitahidi tuwekeze kijijini kwa uzalishaji, na masoko yawe mjini; hii itaongeza idadi ya watu vijijini pamoja na kuboresha maisha ya wakazi wote wa vijijini, kuliko kwenda kuwarushia matope na vumbi kipindi cha mapumziko.​
Huko ni Kilimanjaro bila kupepesa macho, au vp?
 
Kwa mujibu wa maelezo yake, Kilimanjaro haiwezi kukosa. Huko ndo watu wanajenga maghorofa migombani halafu wenyewe wanaishi mijini. Wanafika vijijini kwao Mwezi Desemba kila mwaka.
  • Kule hakuna ardhi ya mteremko wala cheap labour;
  • Vijana wamekimbia vijijini baada ya kasumba ya kuzuia kuuza au kuuza mazao kwa masharti magumu.
  • Kumbuka ushahidi upo wazi: vijana waliozagaa mjini wametoka vijijini.
  • Maeneo yanayopakana na miji mikubwa au yenye usafiri wa uhakika kwenda miji mikubwa nduyo yaliyoathirika zaidi.
 
utal.jpg
 
Back
Top Bottom