Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wangu ukibaki na hiyo akili mgando kutoboa shida sana kwenye huu ulimwengu wa utandawazi...sijasema rupia inauzwa mamilioni ile ni strategy tu ya wazungu kuforce demand iwe juu ili zitafutwe kwa kasi Rupia inauzwa kama collective items na wanaopenda tunza vitu vya kale...bei yake inajulikana wazi EBAY na AMAZON kati ya dola 30-40 sasa imagine umeotea zipo kama mia hv una shilingi ngapi?? tREASURE HUNTS BADO ZIPO na wenzio wanapiga ela kila sikuHahahahahaha kijana hebu acha kunichekesha hizo mambo tangu miaka ya 1981 nikiwa kijana na akili timamu nilikuwa nikiona watu wanahangaika nayo tu wanaingizwa chaka bila lolote hebu nikuulize huyo anayenunua hiyo sarafu kwa mamilioni ya pesa yeye anaenda kuifanyia nini?
ah ah ndo maana kuna kina jef bezos wa amazon na kina sisi...kwasababu tunapogopa kuimagine ah ahTatizo mkuu hawa vijana wanaamini sana drama na mambo mepesi tu mpaka nazeeka sijawahi ona mtu kafanikiwa kwa biashara ya rupia mara pasi ya mjerumani mara stove ya mjerumani zaidi tu ya watu kutapeliwa
Mzee wangu ukibaki na hiyo akili mgando kutoboa shida sana kwenye huu ulimwengu wa utandawazi...sijasema rupia inauzwa mamilioni ile ni strategy tu ya wazungu kuforce demand iwe juu ili zitafutwe kwa kasi Rupia inauzwa kama collective items na wanaopenda tunza vitu vya kale...bei yake inajulikana wazi EBAY na AMAZON kati ya dola 30-40 sasa imagine umeotea zipo kama mia hv una shilingi ngapi?? tREASURE HUNTS BADO ZIPO na wenzio wanapiga ela kila siku
Mzee wangu ukibaki na hiyo akili mgando kutoboa shida sana kwenye huu ulimwengu wa utandawazi...sijasema rupia inauzwa mamilioni ile ni strategy tu ya wazungu kuforce demand iwe juu ili zitafutwe kwa kasi Rupia inauzwa kama collective items na wanaopenda tunza vitu vya kale...bei yake inajulikana wazi EBAY na AMAZON kati ya dola 30-40 sasa imagine umeotea zipo kama mia hv una shilingi ngapi?? tREASURE HUNTS BADO ZIPO na wenzio wanapiga ela kila siku
Hiyo biashara waambie vijana wanaopenda kubet sawa siyo watu wanaoujua undani wa hiyo biashara au nikupe locationah ah ndo maana kuna kina jef bezos wa amazon na kina sisi...kwasababu tunapogopa kuimagine ah ah
Mzee wangu ukibaki na hiyo akili mgando kutoboa shida sana kwenye huu ulimwengu wa utandawazi...sijasema rupia inauzwa mamilioni ile ni strategy tu ya wazungu kuforce demand iwe juu ili zitafutwe kwa kasi Rupia inauzwa kama collective items na wanaopenda tunza vitu vya kale...bei yake inajulikana wazi EBAY na AMAZON kati ya dola 30-40 sasa imagine umeotea zipo kama mia hv una shilingi ngapi?? tREASURE HUNTS BADO ZIPO na wenzio wanapiga ela kila siku
Mkuu unahangaika na hawa vijana wanaotegemea kubet ili watoboe nimemuuliza soko liko wapi anajiumauma tu haya mambo ukijichanganya unapigwa vizuri tumimi ninazo kiroba... soko lipo wapi mkuu... hizo za 1 rupee na zenye simba wawili...
kazi kweli kweli... semeni soko lilipo mimi ntawapa theluthu ya kiroba mkuu... tugawane kama ni kweli... ila sitoi pesa kulipia huduma... pesa iusishwe mimi kulipwa na nikilipwa tugawane kwa hayo makubaliano... mkitaka kusepa na kiroba chote njooni mchukue pia...Mkuu unahangaika na hawa vijana wanaotegemea kubet ili watoboe nimemuuliza soko liko wapi anajiumauma tu haya mambo ukijichanganya unapigwa vizuri tu
Hakuna biashara ya rupia zaidi ya utapeli mkuukazi kweli kweli... semeni soko lilipo mimi ntawapa theluthu ya kiroba mkuu... tugawane kama ni kweli... ila sitoi pesa kulipia huduma... pesa iusishwe mimi kulipwa na nikilipwa tugawane kwa hayo makubaliano... mkitaka kusepa na kiroba chote njooni mchukue pia...
mzee wabgu naona ulitumia nguvu sana ujana wako kusaka hizi majiaje sema information ilikua chache...ni hivi ngoja nijalibu kudeclare interest mimi sinunui wala siuzi rupia...ila ni mtalii wa ndani ninaye penda zunguka na kuangalia utajiri uliopo...Nshapanda mlima kilimanjaro sijui nimeenda saadan kilwa,serengeti,mikumi,na sasa mafia nnachokipost ni kile nlichokiona pamoja na kufanya reserch kidogo na kushare in mwengine iweze msaidia huko mbeleni...so pole kwa upambanani wa mda mrefu ambao haukukuletea mafanikio kama ulivyotegemeaNjoo sasa nikupe ninayo kama 12 jumlisha pasi ya mjerumani hahahah kijana una mambo unajiona wewe ndiyo mchakarikaji kuliko wenzio nimepitia yote hayo kazi halali haramu zote nimezifanya halafu uje unidanganye kiwepesi namna hiyo tulishaenda ukerewe huko mwaka mzima tunasaka hazina ya mjerumani tukaenda newala huko na kwenyewe wapi tukaenda ndanda hola tukaenda mangaka mpakani huko tukayapata sasa kuyauza ndiyo mziki hapo ni 1992 sasa wewe hebu nidanganye
Swali zuri sanahizo hela wanafanyia kitu gani mpaka ziwe na thamani ??
Nawasikia tu bro. Tiririka tuwajueunawajua coin collectors??
Kule kisiwani wanatumia umeme ganiView attachment 810547 View attachment 810543 View attachment 810544 View attachment 810543 View attachment 810544 View attachment 810545 View attachment 810546 Za jioni waungwana...Katika maisha nmejiwekea kila baada ya miezi mitatu huwa najitahidi kutembelea sehemu mbalimbali za nchi yetu ya Tanzania na kujionea vivutio tulivyonavyo.
Basi safari yangu ikanituma kwenda kisiwa cha Mafia ambapo nashukuru Jamiiforums ndo moja ya sehemu nilipopata maelekezo zaidi jinsi ya kufika huko kwa kupitia bandari ndogo ya nyamisati ambapo kuna majahazi yanayokupeleka hadi kisiwani...
Safari ilianzia mbagala mida ya saa 11 jioni ambapo kwa nauli ya 5500 iliweza nifikisha hadi bandari ya nyamisati ambapo tulifika saa 3 na kwa bahati mbaya tiketi za majahazi zilizokua zinakatwa kwa tsh 16000 zikawa zimeisha ila wenyeji wakaniambia itakapofika alfajiri tutaongea na Mabaharia na safari itakua sawa.hili ni swala la kuangaliwa kwa ukaribu kwani ilipofika saa 9 alfajiri waliona tiketi walifanikiwa panda ila bado tusiokuwa na tiketi tulikua zaidi nusu ya wasafiri na wote tulipanda ingawa kutokana na kutokua na uangalizi wa mamlaka zinazohusika jahazi lilionekana kabisa limepandisha kupita kiasi bila kua na vifaa vyovyote vya uokoaji kama vile maboya au vitu kama hivyo na jahazi likiwa limepandisha wanaume wanawake na watoto wakiwa wengi.
Tunashukuru Mungu safari ilifika salama bandari ya kilindoni na kutokana na tishio la ugaidi hata usalama ulikua juu ambapo kila abiria aliyekua anaingia alitakiwa kuonesha kitambulisho ili kujua wanaoingia kisiwani hapo.
nilifikia nyumba ya wageni iliopo eneo la kilindoni na baada ya kuulizia wageni wakanielekeza eneo la utende ambapo kuna hotel za kitalii na fukwe za kuvutia.Nilipokua fukwe za bahari za utende zilizojaa hotel mbalimbali za kitalii hupendelea kukaa na wenyeji na kubadilishana nao mawaidha ili niweze ujua zaidi mji au eneo nnalolitembelea.
Ndipo nilipopata bahati ya kukutana na vijana wanaokaa fukwe za bahari kwa jina beach boys ambapo mmoja wapo akaja na katika kuonge naye akanambia anarupia ya kijerumania ambayo kama naweza mtafutia mteja.
kusema kweli nilivutiwa kujua zaidi kuhusu hiyo sarafu kwani tumesikia historia mbalimbali kuhusu fedha hiyo.Kama alivyoahidi kijana alienda sehem na kurudi nayo na katika kuiangalia ilikua ni robo rupia ya mjerumani iliyotengenezwa kipindi cha utawala wao nchini Tanganyika.Kwa msaada wa google niliweza pata thamani yake kua kama paund 33 za kiingereza.Nilichojifunza hizi pesa kweli zinathamani hata kwenye masoko ya wenzetu wazungu na kama unapata bahati ya kuzipata nyingi let say 100 au 1000 unaweza jipatia kiasi kizuri...basi wadau wenzangu ambao mpo tayari kusaka utajiri*'TREASURE HUNTS....Bado hamjachelewa ..nawasilisha