Safari yangu ya kisiwa cha Mafia na fununu za rupia ya Kijerumani

Safari yangu ya kisiwa cha Mafia na fununu za rupia ya Kijerumani

WANATUMIA GENERETA LA TANESCO. MJI WA MAFIACNI MDOGO KULIKO ENEO LA KUANZIA MWENGE MPAKA BAMAGA MPAKA AFRIKA SANA NA URDIE MWENGE MPAKA BARABARA YA SAM NUJOMA. tena nadhani watu wa mwenge ni mara 2 ya walio mji huo? KUNA MAGOFU NA GUEST CHACHE NZURI NA MAJI YAKE NI YA CHUMVI. NIMEWAHI KWENDA KISIWA KINAITWA CHIBONDO KIPO MWENDO WA SAA MOJA NDANI YA BAHARI TOKA MAFIA UPANDE WA MASHARIKI. NI UVUVI TU HATA MAJI YA KUNYWA WANAYATOA MAFIA.
ah ah kiongozi unaujua mji wako
 
mimi ninazo kiroba... soko lipo wapi mkuu... hizo za 1 rupee na zenye simba wawili...
Tafuta tabora coin(Rupia ya Gold ya mwaka 1916 yenye uzito wa 6.8 grams za Gold) nahisi hizo ndo zinazotafutwa kwenye mapango mengi hapa TZ kama vile hadithi nyingi zinatuambia.
 
...
Screenshot_20201116-221038_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20201116-221047_Samsung%20Internet.jpg
 
Kuhusiana na kukusana noti na sarafu za zamani ni biashara ambayo ipo, na ndio inayomuweka yule shabiki wa stars bongozozo mjini, sema kibongo bongo imegubikwa na utapeli, hayo mambo ya wajerumani kuzifukia siyaamini sana
 
Kuhusiana na kukusana noti na sarafu za zamani ni biashara ambayo ipo, na ndio inayomuweka yule shabiki wa stars bongozozo mjini, sema kibongo bongo imegubikwa na utapeli, hayo mambo ya wajerumani kuzifukia siyaamini sana
Nadhan mwisho wa mwezi ntarudi tena mafia...ila mda huu ntapanda coastal aviation nafhan...ntakachoona ntarejesha jamvini
 
Nadhan mwisho wa mwezi ntarudi tena mafia...ila mda huu ntapanda coastal aviation nafhan...ntakachoona ntarejesha jamvini
panda tropical au tumia meli sasa zinaenda meli za jeshi ila ile ya serikal nahis inaanza mwezi ujao
 
Nadhan mwisho wa mwezi ntarudi tena mafia...ila mda huu ntapanda coastal aviation nafhan...ntakachoona ntarejesha jamvini
Sasa hivi ipo meli inafanya kazi kwa nauli ndogo tuu, na muda wa safari baharini ni masaa 3 tu.
 
panda tropical au tumia meli sasa zinaenda meli za jeshi ila ile ya serikal nahis inaanza mwezi ujao
Kweli maendeleo hayana vyama.....mji utaamka sana kutokana na hili
 
Kweli kiongozi..unaipandia wapi boss
Ni kweli kabisa, unapandia Nyamisati, soma hii habari
 
Ni kweli kabisa, unapandia Nyamisati, soma hii habari
safi sana
 
Kuna dogo kalokota hiyo Ina dili au nimwambie aitupe tu.
IMG-20210411-WA0001.jpg
IMG-20210411-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom