Muhsin Snr
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 515
- 806
Bado mapema sana kujipa ushindiNi miaka 10 sasa imepita! Nimeshasahau!
🤣🤣🤣Hii kitu unaweza sema umeacha ila utaludi kundini kimasihara mpaka we mwenyew utabaki unacheka tu.
Daah mimi ndio nomechoka nilimaliza miez miwili nkajua hapa tayari mchezo nishaushinda kumbe nilikuwa najidanganya daah juzi nimekamatwa kijinga sanaaisee kama umeacha hongera....kuna kipindi nilikaa miezi 6 bila kupiga,mzey siku hyo sijui jini alitokea wapi nikarudi rasmi.......
ila mia khalifa jamani na sarai minx daah......
chama kidumu!
Uzi huu upuuzwedronedrake njoo utoe msaada huku
Wapi huko zimepanda bei mkuu?Kweli kabisa mahusiano gharama...mbususu zimepanda bei
Itabidi unielekeze ulipo mwanawaneWapi huko zimepanda bei mkuu?
Huku nilipo bei inaporomoka vibaya sana na kwakuwa supply inazidi demand ninachoona bei itashuka hadi kufikia bei ya vocha ya buku.