Safari yangu ya kujifundisha kingereza kupitia simu

Safari yangu ya kujifundisha kingereza kupitia simu

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kwa hatua hii je? Niendelee kujifunza au nitakuwa napoteza tu muda wangu?

Nia ninayo.
Screenshot_20250201-221911.png
Screenshot_20250201-222323.png
Screenshot_20250201-222611.png
Screenshot_20250201-222750.png
Screenshot_20250201-222842.png
Screenshot_20250201-223043.png
Screenshot_20250201-223225.png
Screenshot_20250201-223313.png
Screenshot_20250201-223405.png
Screenshot_20250201-223618.png


Asante sana kwa mdau mmoja aliyenipa hii njia naamini nitatonoa kwa kiasi chake.
 
Tuko pamoja Mkuu.

Mimi pia natumia Duolingo kujifunza Kifaransa. Muda mwingine naitumia kujifunza Kiingereza pia.

Nadhani kama una ABCs za Kiingereza huna haja ya kupita hiyo njia ya kutafasori kwa Kiswahili, tumia Kiingereza moja kwa moja.

Pia tumia YouTube kama Learning English with Teacher Tiffany, pia watafute jamaa mmoja anaitwa Elhadj Tv na Ayo Kiss wana short films zinasaidia kujinoa kwenye lafudhi.

Kila la heri.
 
Back
Top Bottom