Safari yangu ya kwenda Bulombola ilivyonikutanisha na Mrembo wa Kaskazini

Katika tuliokula kazi ni awamu ya kwanza nilikuwa kanembwa jkt, awamu zingine nahisi mmekula maisha kidogo baada ya kujua namna ya tulivyotakiwa tutendewe kutokana na hali ya kila mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nlihangaika sana kumkumbuka jina la mteule huyu nashkuru nmelipata leo[emoji23][emoji23] imeelewekaaa in ngutanyi voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anazunguka mno, Mara Sophia sijui Calorite imepwaya. Siasa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…