Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipitie hapa BuhigweTwenzetu burundi...!
View attachment 1862295
Mkuu sema mama yetu,inasemekana hako ka nchi zamani kalikuwa mkoa ndani ya tz.Burundi kuna nini? Maana hata mama yenu alikuwa huku majuzi tu.
Mkuu sema mama yetu,inasemekana hako ka nchi zamani kalikuwa mkoa ndani ya tz.
So ni kama tu mama alikuwa kaenda kusalimia wanae huko.
Haahaaa waziri kasahau tu,warundi wanahamia huku ye anataka sis tuhamie huko.Mbona Waziri pia anasema kama hamtaki kukatwa mhamie huku Burundi?