Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijibuje???Hili swali lilishaulizwa Na jibu lililonyooka halikupatikana.
Maulid hajafukuzwa kazi pale wasafi.Kuna Siri nzito kuhusu huyu jamaa ndo mana Diamond alimfukuza kazi
Yule hajawahi kuoaHahahahah mastaa wengi wake zao hawafahamiki
We unamjua mke we edo kumwembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo anaenda kuzurura tu hukoKuna mambo mawili.
Jamaa ana mke mzungu.
Wengine wanasema jamaa ni interpol
Rejea ile inshu ya nape kutishiwa silaha....who served him?
Siri gani?Kuna Siri nzito kuhusu huyu jamaa ndo mana Diamond alimfukuza kazi
Duh..... alafu amempeleka na oska oskaMmoja kati ya wake zake ambaye alikuwa anafanya kazi Umoja wa Mataifa nchini Sudan, amerudi Marekani, hivyo huwa anakwenda kwa mkewe. Alikuwa na watatu now ana wawili baada Eshe Muhidi anayefanya kazi TBC kuachana nae
Oscar Oscar akirud aache sasa ule ujinga ujinga wake wa kutuchamba.
Nayeye ameoa mke mzungu. Mtotowa tajiriOscar Oscar akirud aache sasa ule ujinga ujinga wake wa kutuchamba.
Unadhani Kitenge alizuia nini kwenye tukio lile?Kuna mambo mawili.
Jamaa ana mke mzungu.
Wengine wanasema jamaa ni interpol
Rejea ile inshu ya nape kutishiwa silaha....who served him?
Yule bibi na yeye bado ana mama yake kumbe [emoji23][emoji23]
Long-time kidogo nilikuwa na demu ITV n.a. Radio 1 Jina linaanza na SM akifanya kazi hapo Kitenge alikuwa connection ya demu mzungu na alikuwa na demu pia mfanyakazi mwenza palepale.Hivi huyu mwamba huwa ana makazi huko? Au anafanya biashara gani huko kwa Joe Biden? Maana kwa mwaka mmoja anaweza kwenda Marekani hata mara nne au tano! Juzi tu hapa kabeba familia nzima kwenda nayo huko akiwemo mama yake mzazi. Jamaa yuko vizuri!
NB:
Mapovu pelekeni mkafulie
View attachment 2053182
Huyu jamaa ni usalama wa taifa aliyekubuhu sema wengi hawalijui hilo.Kuna Siri nzito kuhusu huyu jamaa ndo mana Diamond alimfukuza kazi
Njoo ulambe lolpopHivi mwanaume mzima unaanzaje kufuatilia maisha ya Mwanaume mwenzio? Unataka akupe michongo yake kama mkewe?
AlisemajeAlishatoleaga ufafauzi kwa nini anaendaga huko...
Mleta mada atakuwa ni Msukuma