Safari za Maulid Kitenge Marekani

Kuna mambo mawili.

Jamaa ana mke mzungu.

Wengine wanasema jamaa ni interpol

Rejea ile inshu ya nape kutishiwa silaha....who served him?
Huyo anaenda kuzurura tu huko
 
Mmoja kati ya wake zake ambaye alikuwa anafanya kazi Umoja wa Mataifa nchini Sudan, amerudi Marekani, hivyo huwa anakwenda kwa mkewe. Alikuwa na watatu now ana wawili baada Eshe Muhidi anayefanya kazi TBC kuachana nae
 
Mmoja kati ya wake zake ambaye alikuwa anafanya kazi Umoja wa Mataifa nchini Sudan, amerudi Marekani, hivyo huwa anakwenda kwa mkewe. Alikuwa na watatu now ana wawili baada Eshe Muhidi anayefanya kazi TBC kuachana nae
Duh..... alafu amempeleka na oska oska

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Aina ya threads ambazo watu wasio na hela huwa wanaandika...

Kama unataka kujua jinsi ya kufika huko ingia website ya ubalozi wa US au travel.state utaambiwa namna ya kufika USA (usisahau kuchanja)
 
Long-time kidogo nilikuwa na demu ITV n.a. Radio 1 Jina linaanza na SM akifanya kazi hapo Kitenge alikuwa connection ya demu mzungu na alikuwa na demu pia mfanyakazi mwenza palepale.

Lesbian pia walikuwepo hata huyo ashapelekewa moto na lesbian. Demu wa nyumbii bombii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…