Safari za ndege kuahirishwa kutokana na uhaba wa mafuta Afrika Kusini

Safari za ndege kuahirishwa kutokana na uhaba wa mafuta Afrika Kusini

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Uhaba wa mafuta katika uwanja wa ndege wa OR Tambo wasababisha Safari 14 kuahirishwa na kuathiri zaidi ya abiria 3,000, huku mamlaka ikisema inajitahidi kukabiliana na uhaba huo.

Maafuriko ya Mwezi uliopita KwaZulu Natal yanatajwa kuharibu reli ambayo ndio miundombinu ya usambazaji mkuu wa mafuta katika uwanja wa ndege wa OR Tambo.

Inaelezwa kwa sasa uwanja huo una mafuta yanayoweza kusalia kwa siku tatu huku meli iliyobeba lita milioni kumi za mafuta inatarajiwa kufika Johannesburg kupitia mabomba ndani ya juma lijalo.
.................................

After 14 flight cancellations affecting over 3,000 passengers, the Airports Company of South Africa says it is working to rectify the fuel shortage at the OR Tambo International Airport in Johannesburg.

The Central Energy Fund says it will assist international airlines to refuel should their suppliers be unable to provide aviation fuel.

A ship carrying 10 million litres of fuel is currently docked in Durban, but that consignment is only expected to reach Johannesburg via pipeline next week.

OR Tambo airport’s main supply of fuel is via rail, but flood damage to the network in the KwaZulu-Natal region around Durban means it will not be partially reopened until June.

The airport currently has just over three days of fuel left, but authorities are confident the measures put in place will prevent further cancellations.

Source: BBC News
 
Back
Top Bottom