Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Imekaa poa hiiMambo ndiyo hivi sasa.. ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekaa poa hiiMambo ndiyo hivi sasa.. ๐ ๐
Hahaha njoo ukiondoka tunaondoka wote...๐๐ Me nakuja huko
Hamniachi ng'oHahaha njoo ukiondoka tunaondoka wote...
Ooh yeah wacha niweke ratiba vizuri mapemaa nijilete hukoHahaha njoo ukiondoka tunaondoka wote...
Wewe tena! Tunaanzaje kukuacha kwa mfano๐Hamniachi ng'o
Ni kweli hatukuachi, fanya tu mpango wa tickets. Me nitabeba ginger ale za kutosha na korosho ๐๐๐Hamniachi ng'o
๐ ๐Ni kweli hatukuachi, fanya tu mpango wa tickets. Me nitabeba ginger ale za kutosha na korosho ๐๐๐
Basi vizuri, kazi kwetu sasaa
Lowasa sio mmasai, ni mmeru 100%Lowassa ni mmasai, wewe kutumia R kwenye L mana yake nini au ulimbukeni
Kwahiyo ni pesa yake kwani hiyoAsante Magufuli. Akika umetekereza maendereo kwa vitendo.