Safari za usiku bila mtoto mkali pembeni hazinogi

Safari za usiku bila mtoto mkali pembeni hazinogi

mfate42

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
4,034
Reaction score
4,792
Habari za muda huu ndugu zangu,

Nipo safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha na basi la BM T817 DY. Safari inaonekana kuwa ya kawaida sana, maana hapa nimekaa na bibi mtu mzima ambaye amelala tangu mwanzo wa safari pale Shekilango hadi sasa tupo Mkata.

Kiukweli, ni full michosho. TV zao nazo hazieleweki, zinapiga nyimbo za kidwanzi balaaa. Hakuna usingizi, hakuna vibe. Kwa ufupi, safari ijayo sitarudia makosa haya.

Kazi iendelee, mitano tena kwa mama...
 
Habar za mudahuu ndugu zangu,..nipo safarini from dar to Arusha na bus la BM T817 DY.. ila safar naiona imepoa mnooo, Mana hapa nimekaa na Bibi mtu mzima amelala tangu mwanzo wa Safari pale shekilango had Sasa tupo mkata.

Kiukweli ni full michosho, TV zao nazo hazieleweki zinapga nyimbo za kidwanz balaaa...no usingiz no vaibu..inshort next tym sitorudia makosa.
Kaz iendelee.
 
Habar za mudahuu ndugu zangu,..nipo safarini from dar to Arusha na bus la BM T817 DY.. ila safar naiona imepoa mnooo,..Mana hapa nimekaa na Bibi mtu mzima..amelala tangu mwanzo wa Safari pale shekilango had Sasa tupo mkata....

Kiukweli ni full michosho,..TV zao nazo hazieleweki zinapga nyimbo za kidwanz balaaa...no usingiz no vaibu..inshort next tym sitorudia makosa...
Kaz iendelee ,..
Poleeee😂
 
Habar za mudahuu ndugu zangu,..nipo safarini from dar to Arusha na bus la BM T817 DY.. ila safar naiona imepoa mnooo,..Mana hapa nimekaa na Bibi mtu mzima..amelala tangu mwanzo wa Safari pale shekilango had Sasa tupo mkata....

Kiukweli ni full michosho,..TV zao nazo hazieleweki zinapga nyimbo za kidwanz balaaa...no usingiz no vaibu..inshort next tym sitorudia makosa...
Kaz iendelee ,..
Toka naye kitaa msafiri wote.
 
Back
Top Bottom