Hio ndio mbaya zaidi. Hakuna pesa pale. Kampuni saba zinagombania watu wale wale. Kheri niende mahali ambapo kuna kampuni moja tu kama Ethiopia ambapo 40% pekee wana simu ya rununu. Safaricom ina opportunity kubwa ya kuteka soko hilo kwa sababu kuna watu wengi ambao hawana simu ya rununu. Sisi nyang'au tunatumia akili hatukurupuki kama nyie.Hahahaha, hujui kwamba ukiwa na kampuni nyingi "compition" inaongezeka hivyo gharama za mitandao ndio inashuka?, Pia wateja wanakua na "more choices".
Kenya mna kampuni gani? Najua safaricom tuKenya ina kampuni tatu za mawasiliano. Ethiopia ina moja pekee ila itapata ya pili soon kutoka Kenya. Itaitwa Safaricom Ethiopia. Kuwa na makampuni nyingi za mawasiliano sio nzuri.
Ndio maana safaricom anapiga super profitSafaricom, Airtel na Orange. Ila Airtel na Orange ni ndogo. Wakenya wengi wanamiliki laini ya simu ya Safaricom.
Struggling companies.In fact sio nne, ni 6
1.Vodacom
2. Tigo
3. Airtel
4. TTCL
5. Zantel
6. Halotel
Hiyo ni faida kwa kampuni lakini sio kwa watumiaji, raia wa Ethiopia na Kenya hawana freedom of choice as katika eneo Zima la simu za mkononi,[emoji23][emoji23]Hio ndio mbaya zaidi. Hakuna pesa pale. Kampuni saba zinagombania watu wale wale. Kheri niende mahali ambapo kuna kampuni moja tu kama Ethiopia ambapo 40% pekee wana simu ya rununu. Safaricom ina opportunity kubwa ya kuteka soko hilo kwa sababu kuna watu wengi ambao hawana simu ya rununu. Sisi nyang'au tunatumia akili hatukurupuki kama nyie.
Mbona Safaricom wajali masilahi ya Wahabeshi zaidi ya masilahi ya kampuni yenyewe? Biashara haiendeshwi hivyo, biashara sio ujamaa.Hiyo ni faida kwa kampuni lakini sio kwa watumiaji, raia wa Ethiopia na Kenya hawana freedom of choice as katika eneo Zima la simu za mkononi,[emoji23][emoji23]
Ndio sababu hapo Kenya Safaricom inafanya ipendavyo, wakenya hamna options nyingi ya makampuni za simu za mikononi, unajua faida za competition in business?, Safaricom haiwezi kupambana ndio sababu wanatamba katika nchi zenye makampuni machache ya simu, Kenya na Ethiopia [emoji23][emoji23]Mbona Safaricom wajali masilahi ya Wahabeshi zaidi ya masilahi ya kampuni yenyewe? Biashara haiendeshwi hivyo, biashara sio ujamaa.
Safaricom ndio kampuni kubwa hapa EA. Soon watakuwa top ten biggest companies in Africa. Wewe endelea kucheka wakati kampuni za Kenya zinapiga hela ndefu kila kona. Hata benki za Kenya zinapiga pesa kila kona hadi DRC. Kampuni zenu za kibinafsi mbona zimenyong'onyea sana?Ndio sababu hapo Kenya Safaricom inafanya ipendavyo, wakenya hamna options nyingi ya makampuni za simu za mikononi, unajua faida za competition in business?, Safaricom haiwezi kupambana ndio sababu wanatamba katika nchi zenye makampuni machache ya simu, Kenya na Ethiopia [emoji23][emoji23]
Safaricom haiwezi chagua Tanzania, hapo Kenya inalindwa na wanasiasa(Rutto), ndio sababu imebaki yenyewe, ijaribu kuingia Tanzania Kama haitofunga biashara Kama Uchumi na Nakumatt [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safaricom ndio kampuni kubwa hapa EA. Soon watakuwa top ten biggest companies in Africa. Wewe endelea kucheka wakati kampuni za Kenya zinapiga hela ndefu kila kona. Hata benki za Kenya zinapiga pesa kila kona hadi DRC. Kampuni zenu za kibinafsi mbona zimenyong'onyea sana?
Kawaida nyie huwa hamna pesa ndio maana kampuni za Kenya huwa hazifanyi vizuri huko kwenu.Safaricom haiwezi chagua Tanzania, hapo Kenya inalindwa na wanasiasa(Rutto), ndio sababu imebaki yenyewe, ijaribu kuingia Tanzania Kama haitofunga biashara Kama Uchumi na Nakumatt [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio orange Ni telkom,orange walijitoa.Safaricom, Airtel na Orange. Ila Airtel na Orange ni ndogo. Wakenya wengi wanamiliki laini ya simu ya Safaricom.
Mbona Benk zenu zinafanya vizuri?, Ukweli ni kwamba, katika biashara ya simu za mkononi Tanzania Competition Iko juu sana.Kawaida nyie huwa hamna pesa ndio maana kampuni za Kenya huwa hazifanyi vizuri huko kwenu.
Struggling companies.