Safaricom Kenya yaomba ulinzi kwa Serikali. Ni baada ya Starlink kushusha bei hadi Tsh. 26,000/= kwa GB 50

Safaricom Kenya yaomba ulinzi kwa Serikali. Ni baada ya Starlink kushusha bei hadi Tsh. 26,000/= kwa GB 50

Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.

Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers

Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.

Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
NDio maana walipigwa figisu hapa bongo maana wanajua mziki wa Elion. By the way Majaliwa anamiliki hisa za vodacom.
 
Sisi cartels zimeshikilia Makampuni ya Vodacom, TIGO, Airtel and the like....ni wezi wanawaibia wananchi...tena wanashirikiana na serikali ya mama samia. Kutwa kumsifia ili asiwaguse na kutetea maslahi yao..

Airtel router wanatulipisha 70k for 10mbs...huu ni wizi tu...bila kuwataja voda wanaotulipisha 110k for 20mbs ..

Hawataki hata kutoa kibali cha Starlink hapa Tz

Lakin huwezi kushindana na technologia kamwe
100 unapata 490Mb kwa saa 24
 
Monopolies ni tatizo, zinatapeli wananchi.

Kampuni moja kumiliki asilimia kubwa ya soko haijawahi kuwa salama.

Israel wananchi walikuwa wanalalamika sana internet ni ghali, akaja huyo waziri mmoja akalegeza masharti ya kuanzisha ISPs, washindani wakawa wengi, bei zikashuka.

Kuna nchi zilizoendelea zina internet nafuu kuliko sisi yaani.
 
Monopolies ni tatizo, zinatapeli wananchi.

Kampuni moja kumiliki asilimia kubwa ya soko haijawahi kuwa salama.

Israel wananchi walikuwa wanalalamika sana internet ni ghali, akaja huyo waziri mmoja akalegeza masharti ya kuanzisha ISPs, washindani wakawa wengi, bei zikashuka.

Kuna nchi zilizoendelea zina internet nafuu kuliko sisi yaani.
Israel ndio nchi inayoongoza kwa Internet ya bei ya chini duniani.
 
Sisi cartels zimeshikilia Makampuni ya Vodacom, TIGO, Airtel and the like....ni wezi wanawaibia wananchi...tena wanashirikiana na serikali ya mama samia. Kutwa kumsifia ili asiwaguse na kutetea maslahi yao..

Airtel router wanatulipisha 70k for 10mbs...huu ni wizi tu...bila kuwataja voda wanaotulipisha 110k for 20mbs ..

Hawataki hata kutoa kibali cha Starlink hapa Tz

Lakin huwezi kushindana na technologia kamwe
Siku Starlink wakiruhusiwa, nitafanya sherehe kubwa sana. Hii mitandao wananinyanyasa sana kwende bundle za internet. Naomba sana siku hiyo ifike
 
Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.

Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers

Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.

Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
Huo wito wa Safaricom ni wito wa kijinga katika biashara huria. Ruto na serikali yake nitawaona ni wajinga ikiwa wito huo wataufanyia kazi.
Kwanini safaricom naye asishuke bei vifurushi vyake ili kuhimili ushindani?
 
Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.

Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers

Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.

Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%

Safi sana Elon ,Operator wamenufaika sana ni wakati na TZ wamlete ELon .NEPI kala mlungula kaipiga chini ,sasa sijui wkanini walimkataa Elon na sababu sizizo na msingi...kwani google/Twita wana ofc TZ?
 
Huo wito wa Safaricom ni wito wa kijinga katika biashara huria. Ruto na serikali yake nitawaona ni wajinga ikiwa wito huo wataufanyia kazi.
Kwanini safaricom naye asishuke bei vifurushi vyake ili kuhimili ushindani?

Yes inabidi wapambane ,mbona zamani ilikuwa ukipiga simu tu hata ukiongea sekunde 10 unalimwa bei ya dakika nzima ila alivyokuja tigo aka introduce sekunde ma-operator wengine ikabidi nao wamuige tigo ,hiyo ndiyo biashara inabidi Safaricom ,MTN nao washidane na starlink.
 
Hivi ukikaa pale Mpakani Namanga huwezi kuinjoi hii huduma ya Bwana Elon Musk ili tuwakimbie hawa mabepari yetu yanayolindwa na TCRA
Hata ukiwa hapa Tanzania unaweza kuunganisha hiyo Starlink na ukatumia fresh tu, na tayari kuna watu wanatumia starlink hapa Tz. Ni kinyume cha kisheria za Tz lakini nani anajali ikiwa sheria zenyewe ni kandamizi.
 
Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.

Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers

Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.

Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
Japo tunaona elfu 50 kwa GB45 Kenya ni kubwa(Kenya 1GB ni around Tsh 950) ila kwa TZ ,1GB NI Tsh 2100.
 
Back
Top Bottom