Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simu zangu nyingi kutwa natumia WhatsApp asilimia kubwa...huwezi amin watanzania wanabip hadi WhatsApp.Monopolies ni tatizo, zinatapeli wananchi.
Kampuni moja kumiliki asilimia kubwa ya soko haijawahi kuwa salama.
Israel wananchi walikuwa wanalalamika sana internet ni ghali, akaja huyo waziri mmoja akalegeza masharti ya kuanzisha ISPs, washindani wakawa wengi, bei zikashuka.
Kuna nchi zilizoendelea zina internet nafuu kuliko sisi yaani.
Vodacom nao wajiandae, hatuwezi kuendelea kuibiwa kwa uzembe na manufaa ya watu wachache!!Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.
Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers
Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.
Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
Hawana unlimited Kwa SasaHawa starlink hawana unlimited?
Hata Malawi GB 1 ni chini ya Tsh 1000. Tanzania gharama ni kubwa sana, maeneo mengi spidi si ya kuridhisha, kiufupi wanatufanyia uhuni sana.Japo tunaona elfu 50 kwa GB45 Kenya ni kubwa(Kenya 1GB ni around Tsh 950) ila kwa TZ ,1GB NI Tsh 2100.
Kweli Mkuu?Hata ukiwa hapa Tanzania unaweza kuunganisha hiyo Starlink na ukatumia fresh tu, na tayari kuna watu wanatumia starlink hapa Tz. Ni kinyume cha kisheria za Tz lakini nani anajali ikiwa sheria zenyewe ni kandamizi.
Hata Malawi GB 1 ni chini ya Tsh 1000. Tanzania gharama ni kubwa sana, maeneo mengi spidi si ya kuridhisha, kiufupi wanatufanyia uhuni sana.
Unamjua mmiliki wa tigo tanzania?.Sisi huku nape alituambia jamaa amegoma kuweka ofisi za makuu hapa bongo. Huyu waziri wa Sasa hawezi kufanya kitu?
ItafanyaHivi nikinunua starlink from Kenya haitafanya kazi kwangu?
InterestingItafanya
Sana lo
Naaaam, tena hawa jamaa wakiruhusiwa watakuwa na adab. Sasa hivi wana monopoly wana determine price wanavyotakaMilio Kama hii ilipaswa kusikika hata hapa 🇹🇿
Huwa zinakera kweli.Starlink si waje bongo tupunguze message za umetumia 75% za kifurushi chako
Yamezoea kunyonya raia!Safaricom wanatubwekea. Nini maana ya soko huria?