Kwa hiyo Tsh. 3,000 kwa hii plan mpya ya Starlink ya Tsh. 400 per GB ungekuwa umejizolea GB 7.5 za kutumika mwezi mzimaNimejiunga GB moja za week jana Tsh 2500....sahv imeisha nimejiunga mb 250 za jero ndio nipo namalizia nazo siku.
Sattelite hiyo Mzee Baba hata ukiwa Chamwino inadaka.Hivi nikinunua starlink from Kenya haitafanya kazi kwangu?
Mafisadi wanaotunyonya hapa Tz hawatakubali hiiššBaada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.
Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na kuregulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers
Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.
Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
Hahaha......ndio maana hawabanduki ubavuni mwa mama.Kwa hiyo Tsh. 3,000 kwa hii plan mpya ya Starlink ya Tsh. 400 per GB ungekuwa umejizolea GB 7.5 za kutumika mwezi mzima
Hapo ndo uone jinsi tunavyokamuliwa na hawa kina Rostam Aziz
Tz hapana hii nchi inaongozwa ki maajabu maajabu.Bora safaricom elfu 50 GB 45. Tanzania mitandao yote shilingi elfu 50 ni GB 24.
Na wafanya biashara wako kwa ajili ya.....?Hapo ndio mjue serikali ya CCM ipo kwa ajili ya wafanyabiashara, sio wananchi.
NAIPATAJE STARLINK HAPA TZ MKUU?Hata ukiwa hapa Tanzania unaweza kuunganisha hiyo Starlink na ukatumia fresh tu, na tayari kuna watu wanatumia starlink hapa Tz. Ni kinyume cha kisheria za Tz lakini nani anajali ikiwa sheria zenyewe ni kandamiz
....CCM.Na wafanya biashara wako kwa ajili ya.....?
....CCM.
Wale wa Arusha Tarakea na Mara ndani ndani watafaidHivi huwezi ingiza hayo madishi tokea kenya?
Safaricom yenyewe imesahau wakianzisha Mpesa walipingwa vikali na mabenki lakini serekali ikaruhusu free market hadi kugeuza sheria za benki na kutengeza mpya, Leo hii wao ndo wanajifanya monopoly.Wanataka waendelee tuu kukamua raia
Na wao wapunguze bei.Hzo ni challenge za biashara.hao safaricom wkaechini"wabwinu mbwinu".kumlazi
Maumivu kwa mlipakodiNaaaam, tena hawa jamaa wakiruhusiwa watakuwa na adab. Sasa hivi wana monopoly wana determine price wanavyotaka
Kwani si ndiyo maana Starlink walifanyiwa mizengwe na serikali kuja kutoa huduma yao Tanzania.Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale ambapo utamaliza kifurushi hicho kabla ya mwezi kuisha.
Kampuni ya mawasiliano ya Kenya Safaricom imetoka hadharani na kuomba Serikali ya Kenya kujitokeza na ku-regulate bei hizo maana zitaharibu soko lao local providers
Ikumbukwe kuwa Safaricom na mitandao mingine vifurushi vyao vya bei ya chini kabisa ni Tsh. 50,000 kwa GB 45 kwa mwezi, hii ikiambatana na speed ndogo ya internet ukilinganisha na ile ya Starlink.
Pia kampuni hii ya Starlink chini ya bwana mkubwa Elon Musk iliitikia kilio cha wengi na kushusha bei ya antenna zake na installation fee kwa zaidi ya 70%
mutakula jeuri yenu... your days are numbered.Hivi nikinunua starlink from Kenya haitafanya kazi kwangu?
Mkuu, hao ni wanao roam.mutakula jeuri yenu... your days are numbered.
Kazi ishaanza, safaricom kaongeza speed za vifurushi vyao vya fiber Ili kushindana na starlinkš¤£Anayetakiwa kulindwa ni mteja sio safaricom, ushindani siku zote nafuu kwa mteja. Ahsante Starlink..
Hili lipo wazi kabisaNape alikula rushwa toka kampuni za simu
Watu ni wabinafsi sana, wanajali matumbo yao tu?Hili lipo wazi kabisa