Safaricom wanalia na Starlink Kenya

Safaricom wanalia na Starlink Kenya

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Kama ilivyo kwa kampuni nyingi za simu kujiemdesha kwa unyonyaji, Safaricom Kenya wamepata cha mtema kuni baada ya Elon Musk kuanza kutoa huduma nchini humo na wateja wengi kukimbilia Starlink.

Hii inakuja baada ya kuwa na mkopo wa kifaa kwa wasioweza kukinunua moja kwa moja.

Mapema Safaricom wameanza kupiga kelele zikiashiria wanataka Starlink iondoke Kenya wakidai Serikali haina uthibiti juu ya Starlink hivyo inahatarisha usalama wa kimtandao.

Kwa hapa kwetu Tanzania tusitegemee sana Starlink kuja kwani sharti walilowapa la kuweka ofisi ni gumu kulingana na utendaji wake.

Lakini pia viongozi wengi ni wawekezaji katika haya makampuni hivyo ili kulinda maslahi yao watapiga vita vya nyuklia kuja kwa Starlink.

Nanunuu, " Mtasubiri starlink haiji leo wala kesho". Hayo ni maneno ya mtumishi wa TCRA ngazi ya juu kabisa nilipokuwa nikipiga nae story na kujikuta nimesema intanet ya Starlink iko poa sana ikifika Tanzania tutakula maisha.

Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
 
Kama ilivyo kwa kampuni nyingi za simu kujiemdesha kwa unyonyaji, Safaricom Kenya wamepata cha mtema kuni baada ya Elon Musk kuanza kutoa huduma nchini humo na wateja wengi kukimbilia Starlink.

Hii inakuja baada ya kuwa na mkopo wa kifaa kwa wasioweza kukinunua moja kwa moja.

Mapema Safaricom wameanza kupiga kelele zikiashiria wanataka Starlink iondoke Kenya wakidai Serikali haina uthibiti juu ya Starlink hivyo inahatarisha usalama wa kimtandao.

Kwa hapa kwetu Tanzania tusitegemee sana Starlink kuja kwani sharti walilowapa la kuweka ofisi ni gumu kulingana na utendaji wake.

Lakini pia viongozi wengi ni wawekezaji katika haya makampuni hivyo ili kulinda maslahi yao watapiga vita vya nyuklia kuja kwa Starlink.

Nanunuu, " Mtasubiri starlink haiji leo wala kesho". Hayo ni maneno ya mtumishi wa TCRA ngazi ya juu kabisa nilipokuwa nikipiga nae story na kujikuta nimesema intanet ya Starlink iko poa sana ikifika Tanzania tutakula maisha.

Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
Starlink is inevitable… just a matter of time
 
Tanzania nayo wanakuambia wana hofu na usalama, hiki mbona kichekesho.

Yaani sisi wazungu hata hawahangaiki na sisi kujua taarifa zetu, social medias zote ni zao kuanzia youtube hadi tiktok, messengers kama whatsapp, facebook n k ni wao, wanaona vyote tunavyofanya.

Ndio maana US walisema tiktok waweke data centers za tiktok kwa watumiaji wa US pale US chini ya oracle na sio China.

Wale ndio wanamaanisha usalama sio huu upuuzi wa hapa tisiemu kazi ku deal na upinzani, huo ndio usalama.

Shenzi.
 
Sababu zao zimekaa kifala usalama gani? Usalama wa nyoko yaani network provider anakuwaje threat huku social network zote server zao zipo ulaya/majuu.
Sijui wanataka siku Gen Z wakiandamana wazime internet kama enzi za ujenzi wa mnara wa babeli
 
Tanzania nayo wanakuambia wana hofu na usalama, hiki mbona kichekesho.

Yaani sisi wazungu hata hawahangaiki na sisi kujua taarifa zetu, social medias zote ni zao kuanzia youtube hadi tiktok, messengers kama whatsapp, facebook n k ni wao, wanaona vyote tunavyofanya.

Ndio maana US walisema tiktok waweke data centers za tiktok kwa watumiaji wa US pale US chini ya oracle na sio China.

Wale ndio wanamaanisha usalama sio huu upuuzi wa hapa tisiemu kazi ku deal na upinzani, huo ndio usalama.

Shenzi.
Achana na social media

Yani hadi zile equipment tu za kijeshi bado tunachukua kwao

Sasa hiyo ndio sehemu pekee ambayo walikuwa na uwezo wa kufanya hila zao zote kuhakikisha wana shake hiyo security
 
Wakenya wengi wanalia na gharama za starlink pia.

Safaricom hawaipendi ila uhalisia gharama za starlink ni kubwa sana
Zinaanzia shingapi?

Kwasababu hiyo naona ingewapa urahisi serikali kukubali kwakujua makampuni ya simu hayatokuwa affected kwasababu watu wangekimbilia kwao tu kutokana na unafuu wa huduma.
 
Achana na social media

Yani hadi zile equipment tu za kijeshi bado tunachukua kwao

Sasa hiyo ndio sehemu pekee ambayo walikuwa na uwezo wa kufanya hila zao zote kuhakikisha wana shake hiyo security
Hatuna tishio lolote kiusalama kwa nchi kama US.
Hapo hao matapeli waliopo serikalini waseme ukweli tu kwanini hawaitaki starkink.
Suala la usalama bado hawawezi kupambana na kuzuia kudukuliwa taarifa na wazungu ama wachina.

Inachekesha sana kwa kweli.

US ihangaike kudukua nchi imejichokea hii, US wanahangaika na China ambao wana transmitter zao za huawei, wana satellite, wana social media zao kama tiktok n.k, wana simu zao n.k..
 
Wakenya wengi wanalia na gharama za starlink pia.

Safaricom hawaipendi ila uhalisia gharama za starlink ni kubwa sana
Gharama siyo kubwa, 50GB kwa 1300KSH/10.16USD wakati huku kwetu 4USD/10000TZS unapata 4GB
 
Wakenya wengi wanalia na gharama za starlink pia.

Safaricom hawaipendi ila uhalisia gharama za starlink ni kubwa sana
Kwa speed ya starlink, latency yake na uwezo wa kuconnect device nyingi, naona gharama zao ni affordable.

Unaweza connect watu wengi na mkatumia vizuri tu.

Kinachotokea hapo wajanja, watanunua hizo starlink, halafu watumie kama access point ku connect wengine na kupiga pesa zao. Router moja ya starlink ina connect hadi devices 120.
 
Kama ilivyo kwa kampuni nyingi za simu kujiemdesha kwa unyonyaji, Safaricom Kenya wamepata cha mtema kuni baada ya Elon Musk kuanza kutoa huduma nchini humo na wateja wengi kukimbilia Starlink.

Hii inakuja baada ya kuwa na mkopo wa kifaa kwa wasioweza kukinunua moja kwa moja.

Mapema Safaricom wameanza kupiga kelele zikiashiria wanataka Starlink iondoke Kenya wakidai Serikali haina uthibiti juu ya Starlink hivyo inahatarisha usalama wa kimtandao.

Kwa hapa kwetu Tanzania tusitegemee sana Starlink kuja kwani sharti walilowapa la kuweka ofisi ni gumu kulingana na utendaji wake.

Lakini pia viongozi wengi ni wawekezaji katika haya makampuni hivyo ili kulinda maslahi yao watapiga vita vya nyuklia kuja kwa Starlink.

Nanunuu, " Mtasubiri starlink haiji leo wala kesho". Hayo ni maneno ya mtumishi wa TCRA ngazi ya juu kabisa nilipokuwa nikipiga nae story na kujikuta nimesema intanet ya Starlink iko poa sana ikifika Tanzania tutakula maisha.

Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
starlink kenya wana subscriber kama 4000 tu baada ya takriban miaka 2 toka waanze kutoa hio huduma, hebu tupe hizo data kwamba Safaricom wanalia

hii Ramani ya Starlink Duniani
v80tw6o07scc1.jpeg

ukanda wetu angalau kidogo rwanda na Nigeria, ukitoa hao hakuna nchi ambayo starlink wapo kwa wingi.
 
Kama ilivyo kwa kampuni nyingi za simu kujiemdesha kwa unyonyaji, Safaricom Kenya wamepata cha mtema kuni baada ya Elon Musk kuanza kutoa huduma nchini humo na wateja wengi kukimbilia Starlink.

Hii inakuja baada ya kuwa na mkopo wa kifaa kwa wasioweza kukinunua moja kwa moja.

Mapema Safaricom wameanza kupiga kelele zikiashiria wanataka Starlink iondoke Kenya wakidai Serikali haina uthibiti juu ya Starlink hivyo inahatarisha usalama wa kimtandao.

Kwa hapa kwetu Tanzania tusitegemee sana Starlink kuja kwani sharti walilowapa la kuweka ofisi ni gumu kulingana na utendaji wake.

Lakini pia viongozi wengi ni wawekezaji katika haya makampuni hivyo ili kulinda maslahi yao watapiga vita vya nyuklia kuja kwa Starlink.

Nanunuu, " Mtasubiri starlink haiji leo wala kesho". Hayo ni maneno ya mtumishi wa TCRA ngazi ya juu kabisa nilipokuwa nikipiga nae story na kujikuta nimesema intanet ya Starlink iko poa sana ikifika Tanzania tutakula maisha.

Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
Uongoooo mtupu satellite sio sawa bundle za kawaida ....huu uzushii na uongo Starlink ....wana charge hela nyingi mnoo $ 120 kwa volume based services......mna share kwenye fixed place huwezi move around sasa MNO wataathirika vipi ? Tuache uongooo
 
Hatuna tishio lolote kiusalama kwa nchi kama US.
Hapo hao matapeli waliopo serikalini waseme ukweli tu kwanini hawaitaki starkink.
Suala la usalama bado hawawezi kupambana na kuzuia kudukuliwa taarifa na wazungu ama wachina.

Inachekesha sana kwa kweli.

US ihangaike kudukua nchi imejichokea hii, US wanahangaika na China ambao wana transmitter zao za huawei, wana satellite, wana social media zao kama tiktok n.k, wana simu zao n.k..
Eti hadi kwenye Panton wanazuia kupiga picha sababu za kiusalama.

Hapo ndio nilipoona kweli sisi hatupo salama.

Marekani watu wanapiga picha kwenye vibaraza vya White House lakini kwetu huku ukionekana tu umeshika simu yako unachati maeneo ya ikulu unadakwa.

Nobody is safe /Dizasta
 
Back
Top Bottom