Safaricom wanalia na Starlink Kenya

Safaricom wanalia na Starlink Kenya

img-20240821-wa0004-jpg.3076888


kwa voda
Sasa hio 250k unapata 5G kwa starlink pasipo hayo manyaya ya fiber.
Nikihama nahama na dish langu.

Kuset hauhitaji fundi, dish linajiset lenyewe.

Hizo fiber huwa naona taabu tu.
 
ingia link niliyoweka upime mwenyewe ping, kwa africa ping ya 25ms unaipata Nigeria tu sababu wao ndio wana ground station Africa, ina maana tz ukitumia kitu kinarushwa na Satelite hadi usawa na Nigeria then kinashushwa chini ndio kinaingia kwenye fiber, huo muda wakurusha toka hapa hadi nigeria ndio huio 100ms+ inayoongezeka.
Nadhani hizo dish za starlink zipo connected na satellite, starlink satellite zake ndizo zipo kwenye low orbit kuliko zingine zote.
Ni kama satellite phone , sidhani kama zinarusha kuelekea Nigeria.
 
Sasa hio 250k unapata 5G kwa starlink pasipo hayo manyaya ya fiber.
Nikihama nahama na dish langu.

Kuset hauhitaji fundi, dish linajiset lenyewe.

Hizo fiber huwa naona taabu tu.
starlink yenyewe inatumia fiber, hizo satelite lazima zishushe mzigo kwenye fiber, so hayo "mawaya" yana faida yake ikiwemo hiyo ping, kama huna matumizi ya ping kama kucheza games online, kuangalia mpira etc huwezi elewa.

pia starlink unatumia eneo moja tu, ukihama hama ina kifurushi chake bei ghali. na usipotoa taarifa unawekwa kwenye low priority speed inapungua.
 
Nadhani hizo dish za starlink zipo connected na satellite, starlink satellite zake ndizo zipo kwenye low orbit kuliko zingine zote.
Ni kama satellite phone , sidhani kama zinarusha kuelekea Nigeria.
mfano wewe una starlink umepost hii post na mimi nimeiona, je unafikiri starlink satelite zake zimemulika hii computer yangu ama kuna ground station somewhere ili data ziingie kwenye mfumo wa dunia?

data haziwezi kaa angani kwenye satelite muda wote lazima zishuke ardhini kwanza, hapa ardhini ndio zinaunganishwa na fiber networks. jinsi ulivyo karibu na ground station yao ndio jinsi unavyopata ping nzuri
 
starlink yenyewe inatumia fiber, hizo satelite lazima zishushe mzigo kwenye fiber, so hayo "mawaya" yana faida yake ikiwemo hiyo ping, kama huna matumizi ya ping kama kucheza games online, kuangalia mpira etc huwezi elewa.

pia starlink unatumia eneo moja tu, ukihama hama ina kifurushi chake bei ghali. na usipotoa taarifa unawekwa kwenye low priority speed inapungua.
Starlink inatumiaje fiber, hapa nyumbani nina modem simu ya zamani sana inatumia satellite na ina antenna, antenna yake imeandikwa "stay away 10 meters" ni ya miaka ya early 2000s mzee aliitumia ku access internet, ina kitabu chake kikubwa kina maelezo yote namna ya kutumia na ku connect na computer.

Hakuna fiber ni direct inaonana na satelite sasa hilo la fiber sijajua, hio fiber inaelekea wapi.
Hizi tech ni za muda, starlink wamekuja boresha tu, lakini binafsi satellite internet nimetumia sana.


Sasa hio fiber inakwenda wapi?
 
mfano wewe una starlink umepost hii post na mimi nimeiona, je unafikiri starlink satelite zake zimemulika hii computer yangu ama kuna ground station somewhere ili data ziingie kwenye mfumo wa dunia?

data haziwezi kaa angani kwenye satelite muda wote lazima zishuke ardhini kwanza, hapa ardhini ndio zinaunganishwa na fiber networks. jinsi ulivyo karibu na ground station yao ndio jinsi unavyopata ping nzuri
Hilo nalielewa kiongozi, satellite lazima iwasiliane na antenna, satellite ni kama access point tu.

Hata satellite kwa satellite zinawasiliana , hata kama ni kampuni tofauti ni kama roaming flani.

Mimi nachosema ni hayo manyaya ya kufunga nyumba hadi nyumba, naona kero tu.

Starlink unless uhame nchi, lakini dishes zao ni portable popote unatumia.
 
starlink yenyewe inatumia fiber, hizo satelite lazima zishushe mzigo kwenye fiber, so hayo "mawaya" yana faida yake ikiwemo hiyo ping, kama huna matumizi ya ping kama kucheza games online, kuangalia mpira etc huwezi elewa.

pia starlink unatumia eneo moja tu, ukihama hama ina kifurushi chake bei ghali. na usipotoa taarifa unawekwa kwenye low priority speed inapungua.
Wana antenna za kwenye magari kama haya mabasi, unatembea huku internet access unapata hata kama gari ipo 100km/hr.

Jamaa wapo mbali, kwenye ndege pia wana anstenna zao.

Kuhama una hama kama kawaida na diah lako, dish likipata uelekeo sahihi unaendelea kutumia.
 
Starlink inatumiaje fiber, hapa nyumbani nina modem simu ya zamani sana inatumia satellite na ina antenna, antenna yake imeandikwa "stay away 10 meters" ni ya miaka ya early 2000s mzee aliitumia ku access internet, ina kitabu chake kikubwa kina maelezo yote namna ya kutumia na ku connect na computer.

Hakuna fiber ni direct inaonana na satelite sasa hilo la fiber sijajua, hio fiber inaelekea wapi.
Hizi tech ni za muda, starlink wamekuja boresha tu, lakini binafsi satellite internet nimetumia sana.


Sasa hio fiber inakwenda wapi?
Tanzania-NICTBB.jpeg


umeona huu? unaitwa mkonga wa taifa, mitandao yote ya simu na internet imeunganishwa hapo. mtu yoyote ambaye yupo Tanzania akituma ama kupokea kitu chochote kupitia internet basi lazima kipitie hapo.

assume mtu yupo Misri ama Australia ama USA anatumia Starlink anakutumiA file kwa internet litakufikia vipi?
1. file litatoka kwenye kifaa chake hadi satelite ya starlink,
2. satelite ya starlink itatuma lile file kwenye satelite ya karibu na ground station
3. satelite ya karibu itatuma file kwenye ground station
4. ground station itaunganisha na inter sea fiber cable
5. inter sea fiber cable itaunganisha na mkonga wa taifa
6. mkonga wa taifa unakuunganisha na mtandao wako ili upokee file. vice versa is true kama na wewe unatuma file kwa mtu wa starlink.

so hata hio modem yako ya zamani ya satelite somewhere ilikua inaunganisha na waya, zamani hazikua fiber zenye kasi kama hizi, walitumia analog shaba zile, ila still point ipo pale pale.
 
Tanzania-NICTBB.jpeg


umeona huu? unaitwa mkonga wa taifa, mitandao yote ya simu na internet imeunganishwa hapo. mtu yoyote ambaye yupo Tanzania akituma ama kupokea kitu chochote kupitia internet basi lazima kipitie hapo.

assume mtu yupo Misri ama Australia ama USA anatumia Starlink anakutumiA file kwa internet litakufikia vipi?
1. file litatoka kwenye kifaa chake hadi satelite ya starlink,
2. satelite ya starlink itatuma lile file kwenye satelite ya karibu na ground station
3. satelite ya karibu itatuma file kwenye ground station
4. ground station itaunganisha na inter sea fiber cable
5. inter sea fiber cable itaunganisha na mkonga wa taifa
6. mkonga wa taifa unakuunganisha na mtandao wako ili upokee file. vice versa is true kama na wewe unatuma file kwa mtu wa starlink.

so hata hio modem yako ya zamani ya satelite somewhere ilikua inaunganisha na waya, zamani hazikua fiber zenye kasi kama hizi, walitumia analog shaba zile, ila still point ipo pale pale.
Kutumia station chini hio ni lazima, hio station si lazima iwe Tanzania na hapo ndipo satellite inakuwa ya muhimu zaidi.

Satellite internet si lazima itumie station hapa bongo, inaweza kuwa ina connect US au Europe au South Africa n.k...


Nilichokua nasema ni wewe kusema wanatumia fiber.

Hizo fiber za voda hadi nyumbani, waya ina km karibu 3 ama 4 naona ni usumbufu tu.

Satellite kama ya starlink nahama nayo hata Dar-Morogoro au hadi Dodoma na hakuna shida.

Hata nikae Serengeti porini natumia.

Wakati huo makampuni ya simu baadhi ya maeneo mtandao shida.

Kiukweli tumshukuru starlink.
 
Tanzania nayo wanakuambia wana hofu na usalama, hiki mbona kichekesho.
We acha tu huwa nacheka sana, Maana comouter zote zao, software za usalama zao hatuna hata moja ya kwetu halafu eti na sie tunalinda usalama 😂😂😂, wanatuonaga kama wananchi hatujielewi vile.
 
hela nyingi mnoo $ 120 kwa volume
Usigoogle bei za Marekani uje udanganye hapa, kila sehemu kuna bei yake. KSH 6500 sawa na USD 50 sawa na 136,000 TZS unapata up to 200Mbps unlimited. Bongo 110,000 unapata 30Mbps huoni kama ni utapeli. Mi natumia unlimited ya Airtel Kwingine hiyo bei ya 110,000 wanaishia 20Mbps.
 
Back
Top Bottom