Safaricom wanalia na Starlink Kenya

Safaricom wanalia na Starlink Kenya

starlink kenya wana subscriber kama 4000 tu baada ya takriban miaka 2 toka waanze kutoa hio huduma, hebu tupe hizo data kwamba Safaricom wanalia

hii Ramani ya Starlink Duniani
View attachment 3083872
ukanda wetu angalau kidogo rwanda na Nigeria, ukitoa hao hakuna nchi ambayo starlink wapo kwa wingi.
Starlink inakuwa threat, ni tishio, ni kama hapa makampuni yakiogopa.
 
Kwa speed ya starlink, latency yake na uwezo wa kuconnect device nyingi, naona gharama zao ni affordable.

Unaweza connect watu wengi na mkatumia vizuri tu.

Kinachotokea hapo wajanja, watanunua hizo starlink, halafu watumie kama access point ku connect wengine na kupiga pesa zao. Router moja ya starlink ina connect hadi devices 120.
si kweli Starlink wana ping ambayo sio nzuri hasa Africa, Kenya wanalia huduma mbovu ila sisi tunapamba moto, pia huruhusiwi kushare, wakijua tu unakula ban.


ingia hapo kucheki ping, kenya inacheza 125-160ms, hio ni local ping, for comparison fiber tanzania ni 1-4ms na 5G ni 10-25ms 4g around 20-30ms even 3g nzuri kama ya halotel unapata 30ms.
 
Starlink inakuwa threat, ni tishio, ni kama hapa makampuni yakiogopa.
usijali Starlink inakuja Tanzania Q4 mwaka huu, mwezi wa 10-12 kwenye website yao wameshatangaza, tuone wapiga kelele humu mtakavyotoa milioni 1.5 kuunga na zaidi ya laki kila mwezi, tutawafukuza kina Tigo na Voda wana bundle bei ghali sana tunataka starlink bei rahisi
 
Eti hadi kwenye Panton wanazuia kupiga picha sababu za kiusalama.

Hapo ndio nilipoona kweli sisi hatupo salama.

Marekani watu wanapiga picha kwenye vibaraza vya White House lakini kwetu huku ukionekana tu umeshika simu yako unachati maeneo ya ikulu unadakwa.

Nobody is safe /Dizasta
Ni kukosa kazi za kufanya na ushamba.
Hao walinzi ikulu 4 failure, wanaitana kindugu baada ya kukosa kazi za kufanya.

Wanachojua ni kutumia nguvu na kukamata upinzani.

Ungesoma kilichotokea lile tukio la kulipuliwa ubalozi wa US nchini Tanzania ungecheka sana.

Walikamata wezi, walevi na wahuni mtaani kwamba ndio magaidi, FBI walipokuja na CIA wakasema hakuna gaidi, wawaachie wale watu.

Hao ndio usalama.
 
Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
Huu sio UONGO ni ukweli mtupu
 
si kweli Starlink wana ping ambayo sio nzuri hasa Africa, Kenya wanalia huduma mbovu ila sisi tunapamba moto, pia huruhusiwi kushare, wakijua tu unakula ban.


ingia hapo kucheki ping, kenya inacheza 125-160ms, hio ni local ping, for comparison fiber tanzania ni 1-4ms na 5G ni 10-25ms 4g around 20-30ms even 3g nzuri kama ya halotel unapata 30ms.
Speed yao ipo vipi? Kwa bei zenu za hawa wezi wa hapa?
 
usijali Starlink inakuja Tanzania Q4 mwaka huu, mwezi wa 10-12 kwenye website yao wameshatangaza, tuone wapiga kelele humu mtakavyotoa milioni 1.5 kuunga na zaidi ya laki kila mwezi, tutawafukuza kina Tigo na Voda wana bundle bei ghali sana tunataka starlink bei rahisi
Starlink wapo vizuri.
Speed yao kwa bei za hawa watoa huduma ya internet wa Tz utasikia wanakuambia 600K kwa mwezi.
 
Speed yao ipo vipi? Kwa bei zenu za hawa wezi wa hapa?
download speed nzuri, ina match ama zaidi ya 5G/fiber za Tanmzania inategemea na mtandao, na assume bei ya starlink ni 100,00-150,000 ila latency na upload speed ni mbovu compare na mitandao uliyozoea.

kama una download sana vitu kama movies na magame, sio mbaya ila kama unafanya vitu serious kama video call, kuangalia mpira, vloging etc kuna mitandao mizuri zaidi hapa kwetu.
 
download speed nzuri, ina match ama zaidi ya 5G/fiber za Tanmzania inategemea na mtandao, na assume bei ya starlink ni 100,00-150,000 ila latency na upload speed ni mbovu compare na mitandao uliyozoea.

kama una download sana vitu kama movies na magame, sio mbaya ila kama unafanya vitu serious kama video call, kuangalia mpira, vloging etc kuna mitandao mizuri zaidi hapa kwetu.
Ngoja niendelee kukomaa na hii voda ya 150k
 
Starlink wapo vizuri.
Speed yao kwa bei za hawa watoa huduma ya internet wa Tz utasikia wanakuambia 600K kwa mwezi.
hapana, mimi zuku nalipia 69,000 ukilipia ontime bila kukatiwa miezi 3 wana double ama quadruple speed
Screenshot 2024-09-01 013537.png

umeona ping yangu hapo 3ms? hio speed ni bora mara 40 compare na 125ms ya starlink, itanizidi download speed hio starlink ila i will never trade that ping.

huko Ulaya na Marekani starlink ni internet za watu wa vijijini ambao internet za kisasa kama fiber hazijawafikia.

pia ukitaka download speed ya starlink 50-150mbps kibongo bongo unapata kuanzia 120,000-250,000 kutegemea na mtandao,mingine unapata speed zaidi, mfano voda fiber yao 250,000 wanakupa 200mbps upload na download, Halotel na Tigo pia fiber zao bei nzuri, same to raha.
 
Kama ilivyo kwa kampuni nyingi za simu kujiemdesha kwa unyonyaji, Safaricom Kenya wamepata cha mtema kuni baada ya Elon Musk kuanza kutoa huduma nchini humo na wateja wengi kukimbilia Starlink.

Hii inakuja baada ya kuwa na mkopo wa kifaa kwa wasioweza kukinunua moja kwa moja.

Mapema Safaricom wameanza kupiga kelele zikiashiria wanataka Starlink iondoke Kenya wakidai Serikali haina uthibiti juu ya Starlink hivyo inahatarisha usalama wa kimtandao.

Kwa hapa kwetu Tanzania tusitegemee sana Starlink kuja kwani sharti walilowapa la kuweka ofisi ni gumu kulingana na utendaji wake.

Lakini pia viongozi wengi ni wawekezaji katika haya makampuni hivyo ili kulinda maslahi yao watapiga vita vya nyuklia kuja kwa Starlink.

Nanunuu, " Mtasubiri starlink haiji leo wala kesho". Hayo ni maneno ya mtumishi wa TCRA ngazi ya juu kabisa nilipokuwa nikipiga nae story na kujikuta nimesema intanet ya Starlink iko poa sana ikifika Tanzania tutakula maisha.

Iko hivi, serikali ya Tanzania ni miongozi mwa serikali wanataka hata ukituma meseji kwa mpenzi wako waone.

Na wanafanya hivyo sio kwa sabahu za kiusalama bali wanatafuta wapinga kristo wawapoteze.
Mwezi wa 11 siyo mbali, starlink itakuwa bongo. Wamekubali kuweka ofisi Yao bongo.
 
Wakenya wengi wanalia na gharama za starlink pia.

Safaricom hawaipendi ila uhalisia gharama za starlink ni kubwa sana

Uongoooo mtupu satellite sio sawa bundle za kawaida ....huu uzushii na uongo Starlink ....wana charge hela nyingi mnoo $ 120 kwa volume based services......mna share kwenye fixed place huwezi move around sasa MNO wataathirika vipi ? Tuache uongooo
Nyinyi mtakua mnacheza na freebasics mpaka mnakosa update
Kwanini Safaricom analialia sasa hivi?
Hili ndio jibu
 
hapana, mimi zuku nalipia 69,000 ukilipia ontime bila kukatiwa miezi 3 wana double ama quadruple speed
View attachment 3083880
umeona ping yangu hapo 3ms? hio speed ni bora mara 40 compare na 125ms ya starlink, itanizidi download speed hio starlink ila i will never trade that ping.

huko Ulaya na Marekani starlink ni internet za watu wa vijijini ambao internet za kisasa kama fiber hazijawafikia.

pia ukitaka download speed ya starlink 50-150mbps kibongo bongo unapata kuanzia 120,000-250,000 kutegemea na mtandao,mingine unapata speed zaidi, mfano voda fiber yao 250,000 wanakupa 200mbps upload na download, Halotel na Tigo pia fiber zao bei nzuri, same to raha.
Speed yao ipo vizuri sana.
Wana huduma tofauti tofauti tokana na bei.

Wana hadi antenna za kufunga kwenye ndege na gari, suala la ping kuna ambao wanasema zinafika hadi 28ms.

All in all starlink haina mpinzani, amewapiga mbali sana speed.

Hizo fiber za voda so maeneo yote.
 
Angali Safaricom wanavyohaha
Ina maana walikuwa wapi siku zote?
Walikuwa wanafurahia kukamua wakenya, sasa the table has turned
Ndio ujue Musk alikuwa anafatilia updates za Gen Z wa Kenya


 
Angali Safaricom wanavyohaha
Ina maana walikuwa wapi siku zote?
Ndio ujue Musk alikuwa anafatilia updates za Gen Z wa Kenya


Hata hapa bongo wameanza kushusha bei za internet
 
Speed yao ipo vizuri sana.
Wana huduma tofauti tofauti tokana na bei.

Wana hadi antenna za kufunga kwenye ndege na gari, suala la ping kuna ambao wanasema zinafika hadi 28ms.

All in all starlink haina mpinzani, amewapiga mbali sana speed.

Hizo fiber za voda so maeneo yote.
ingia link niliyoweka upime mwenyewe ping, kwa africa ping ya 25ms unaipata Nigeria tu sababu wao ndio wana ground station Africa, ina maana tz ukitumia kitu kinarushwa na Satelite hadi usawa na Nigeria then kinashushwa chini ndio kinaingia kwenye fiber, huo muda wakurusha toka hapa hadi nigeria ndio huio 100ms+ inayoongezeka.
 
Back
Top Bottom