Safi Israel kwa kulipua matanki ya maji Gaza

Palestianians : " If you die, make sure you die with a bunch of israelis."

Israelis : " A good palestinian is a dead one"
 
Kwa mitusi huyo tu uliyoporomosha hapo yanaashiria tosha kabisa kuwa huna imani yoyote kwa Yesu bali una ushabiki tu wakishamba kwa waisraeli. Na bahati mbaya sana umekariri eti kwa kuwa Yesu alikuwa Muisraeli basi hao ni watu wa Mungu. Kwa taarifa yako Waisraeli hawamkubali Yesu Kristo. Kristo wanayemuamini hajaja duniani bado; wanamsubiria.
 
Mungu ibariki Yerusalemu
Mungu ibariki israeli
 
Kama ulisoma hadi Chuo kikuu basi ni hasara kwa Taifa.
Unaamini Hamas imekua na kujiendeleza bila support ya Israel & Nato?, wanaokufa ni raia wasiokuwa na hata chembe ya hatia na hiki siyo kitu cha kushangilia maku ww.
Kama hujui kinachendelea Gaza basi kasome hata conspiracy theories za New World Order!. Kinachoendelea Palestina ni kitu kilicho planned kwa muda mrefu na wala siyo kitu kilichotokea kwa kujitakia au kwa bahati mbaya ndiyo maana sasa Israel anamvimbia hadi katibu mkuu wa UN. Jiulize kwa nn magharibi wote wanamuunga Israel na kumuacha Ukraine akiwa km mtoto yatima?
Kila mtu mwenye utu anapaswa kusimama na Palestina na siyo Israel.
 
Yafe tu yote. Hata Allah mwenyewe kawakimbia na kujificha.

NO MERCY!
 
Hamas asingechokoza haya yote yasingetokea na wewe usingekuwa unaandika miandiko mirefu hivi.Achokozaye apigwe tu hakuna namna nyingine
 
Wewe ni shetani, na kama mumgeiamini biblia hata vita isingekuwepo, wapalestina wangeishi viziuri TU na wayahudi bila wasiwasi yoyote. Lakini Iman Yako ndo inawapoteza hamasi.
 
Hamas asingechokoza haya yote yasingetokea na wewe usingekuwa unaandika miandiko mirefu hivi.Achokozaye apigwe tu hakuna namna nyingine
Kila kitu kilikuwa planned na kimetokea kilivyokuwa kimepangwa
 
Duh!! Maghayo; umecharuka kweli kweli na kujawa na munkari. Nakuunga mkono 100% kwani hao jamaa waliyataka wenyewe lakini sasa imekuwa ni kwa gharama ya wote wazee,wamama na watoto. Hili limekuwa hivyo kutokana na kutoshirikishana au kutambua kwamba je, waathirika (vulnerable groups) itakuwaje usalama wao?. Eti sasa wanalalamika wanauawa. Hawajiulizi kwani Israeli amekuja kufanya ulinzi hapo????.
 
Ngoja kidogo...

Wewe ni muislamu sawa, Sasa haya mambo unayajua vizuri kuliko wakristo

Ebu niambie ni kweli majini yanakula na kunywa na yanaweza kuzaliana na binadamu?
 
Sorry mkuu, naomba kuuliza kitu.

Hivi ushindi wa Israel unafaida gani ya moja kwa moja kwako?
 
Kumbe we unadhani peponi hakuna mito udongo, mabustan basi we pepo yako labda ni Jahanamu

Eti kaburini hakuna uhai hata bibilia hamzifahamu nakuwekea hapo kwenye bibilia zenu

Listen, Job knew that he would keep on living beyond the grave [Job 19:25-27], David knew that he would keep on living beyond the grave [Ps 17:15], and Peter, James and John saw Moses alive after his death [Deut 34, Matt 17:1-4].
 
.Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
Maralia umeamini sasa kua MAKRISTO na MAYAHUDI ni marafiki na ni maadui wa MAISLAMU na MAARABU
 
Tafsiri kwa kiswahili mkuu usitupange na utuambie ni biblia ipi umenukuu hivyo vitabu??
 
Wewe ni shetani, na kama mumgeiamini biblia hata vita isingekuwepo, wapalestina wangeishi viziuri TU na wayahudi bila wasiwasi yoyote. Lakini Iman Yako ndo inawapoteza hamasi.
Mimi namini Zaburi, Taurati, Injili na Qur'an tu, ziko point ambazo Paulo kazichukua kwenye Injili ya Yesu nazikubali lakini kiasi tu kama 25% zingine alizo jiletea yeye sizikubali

Kwanza huyo mtume wenu Paulo alikuwa anaota kakutana na shetani akasema kamuona Yesu πŸ˜„

Paulo mafundisho yake ni tofauti na Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…